Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

.. Dawa naona iliwaaingia vizuri sanaaaa.. ndio maana humu kuna ile issue ya kina Kingai najisemea kimoyo moyo tu, jamaa waliamua kuwa watii maana hawakujua lengo la jamaa kuwafataa.. ila ulichowapatia ndio wangepewa tena maradufu
Hata mimi nawashangaa raia kwenye hii ishu ya kina Kingai na wale makomandoo eti wanawakejeli wanajeshi na kuwasifu hao mapolisi wahuni kisa waliwapiga wale makomandoo hadi wakaanza kulia kama watoto. Huwa nasoma nasema tu hiiiii yaani polisi ni wa kujisifia kuwa wao wako juu kimafunzo kuliko makomandoo wa jwtz?
 
Hata mimi nawashangaa raia kwenye hii ishu ya kina Kingai na wale makomandoo eti wanawakejeli wanajeshi na kuwasifu hao mapolisi wahuni kisa waliwapiga wale makomandoo hadi wakaanza kulia kama watoto. Huwa nasoma nasema tu hiiiii yaani polisi ni wa kujisifia kuwa wao wako juu kimafunzo kuliko makomandoo wa jwtz?
Nahisi wale makomdanoo moja walihisi pia kama test ya nidhamu kwao pia walikuwa na matarajio flani ila pia nidhamu bado ipo kwao.. sio kwamba walikuwa wanyonge
 
Back
Top Bottom