Kashaija72
JF-Expert Member
- May 18, 2020
- 2,522
- 5,576
Una chuki na huyo mwana?hahaaha usinitajie huyo jamaa aisee tusiharibiane jioni..
Una chuki na huyo mwana?hahaaha usinitajie huyo jamaa aisee tusiharibiane jioni..
kuna kona fulani tulikwaruzana, amekaa kipigaji pigaji sana na mimi na watu wa kuwinda vya watu hatupatani..Una chuki na huyo mwana?
FX ukiweza kuwa mzuri kwenye RM, na ukawa mwenye subira ya kuingia sokoni.. huitaji Phd.. hata 😀😀😀.. kila mtu anajua TA na hata FA.. pamoja na SA.. ila tuna fail kwenye RM kwasababu ya tamaaakabisa mkuu wangu, sahii nataka kutega vilipuzi kwenye FX nyingine kwenye miti ya dawa hii consistency yake sio kama FX kunisomesha vitabu kama natafuta PHD no, 3 months tu namtafuta broker anipe changu..
mkuu sio tamaa ni njaa, yaani naona $100 inaelea elea kwenye profit na chart haichelewi kuretrace mimi ni nani nisifunge order!?..FX ukiweza kuwa mzuri kwenye RM, na ukawa mwenye subira ya kuingia sokoni.. huitaji Phd.. hata 😀😀😀.. kila mtu anajua TA na hata FA.. pamoja na SA.. ila tuna fail kwenye RM kwasababu ya tamaaa
Kitambi kisikuharibie pozi; hakiwashi wala hakiumi. Yeah mpasuo umekaa penyewe. Mpo vizuri na fundi wako mama. Kongole sanaHeaven Sent Hio kama inavojieleza ni vitambaa viwili ....juu Cha lesi ndani cha kuvutika sema imenichongaje kitambiiii!! Ndefu hadi chini ...chini nahapo kwenye mpasuo kapiga mshazari sijui wanaitaga overloki !Ameungia hapo chini ya maziwaView attachment 2079648
Aiseeeeeeeee!!Heaven Sent Hio kama inavojieleza ni vitambaa viwili ....juu Cha lesi ndani cha kuvutika sema imenichongaje kitambiiii!! Ndefu hadi chini ...chini nahapo kwenye mpasuo kapiga mshazari sijui wanaitaga overloki !Ameungia hapo chini ya maziwaView attachment 2079648
hapa ndio shida ilipo.. una kausha hadi ifikie TP mzeemkuu sio tamaa ni njaa, yaani naona $100 inaelea elea kwenye profit na chart haichelewi kuretrace mimi ni nani nisifunge order!?..
Ebu muwache mahondaw kitambi kina raha yale ☺️☺️☺️Kitambi kisikuharibie pozi; hakiwashi wala hakiumi. Yeah mpasuo umekaa penyewe. Mpo vizuri na fundi wako mama. Kongole sana
haahah kuna mabalaa fulani kama news za ajabu ajabu na matukio ya ghafla ya kuharibu market huwa ngoma inaruka TP na SL unalazwa na viatu tena venye matope..hapa ndio shida ilipo.. una kausha hadi ifikie TP mzee
Nimeanza 2016haahah kuna mabalaa fulani kama news za ajabu ajabu na matukio ya ghafla ya kuharibu market huwa ngoma inaruka TP na SL unalazwa na viatu tena venye matope..
by the way wakati wa mchakato wa BREXIT ulishaanza kutrade!?..
Ulifanya la maana kamanda. Hawa viumbe wengi wao wana vurugu na ni waonevu sana ukiwa mnyonge utaonewa sana.
Niliwahi kuingia nao kwenye taharuki mwaka 2016, yaani nipo sehemu nimekaa na washikaji kitaa mida saa tano asubuhi, tukashangaa ghafla defender imetia breki.
Kamanda wao akaamrisha tuingie kwenye gari kwa kosa la kunywa pombe ( bia) kabla ya muda ( enzi hizo haikuruhusiwa kunywa mpaka ifike saa kumi jioni). Nilishangaa sana maana tulikuwa tumekaa tu kumbe kuna tupu ( chupa) ya bia iko pembeni na sisi.
Wenzangu wakakubali kuingia mi nikakataa maana sikuwa na kosa, sijakaa sawa akaja mmoja eti anataka kunikamata, nikamdaka mkono na kimsukuma huko! Basi bhana sijakaa sawa wakaja wawili nikawadaka wote! Akarusha ngumi mmoja nikakwepa nikamrukia yule mwingine nikamtwisha hook punch.
Walikuwa kama nane hivi wengine walikuwa na chuma( SMG/ak 47).
Nikamvuta mmoja tena nikachana shati lake ( hakuvaa sare). Mzuka ukapanda niliwachezeshea mkono. Wale wenye bunduki wakakaa standby wakaniamuru nijisalimishe ( wala hawakuweka chamber risasi) nikawatukana.
Raia walijazana huku wakiwazomea hao polisi. Akaja mmoja tunafahamiana akaniomba niache. Akili ikarudi kuwa nimeharibu, nikapanda kwenye gari wakataka kuanza kunishambulia nikawaambia nitawavunjavunja na hizo silaha zenu ( wakatulia huku wamechakaa vumbi)
Tumefika kituoni nikaamuliwa kuvua mkanda ili niwekwe sero, nilipoutoa tu wakaanza mkanda huu umetoa wapi? Nikaawambia kwani unapatikana wapi?
Wakanywea; hahaha wakaniachia bure na knuckles wamekula.
Above all, mwana katuongezea knowledge watz. Mimi nilimsoma na mpaka Sasa namsoma Kisha naingia chimbo Kupiga mziki mwenyewe. Uzuri najua kuitumia google vizuuri mno.kuna kona fulani tulikwaruzana, amekaa kipigaji pigaji sana na mimi na watu wa kuwinda vya watu hatupatani..
Sawa Sweetheart.. Ukiweza pitia vile vitu vyetuKwa sasa bado niko Dom dada, nikifika Dar tu nitakutaarifu.



Ameeenn!! Hallelujah!!

Tamaa mbaya, nadhani ni kwa sababu ya mitaji mbuzi mategemeo tembo. Tunataka $20 ilipe Kodi, inilishe hotel, inunue tv, ijenge nyumbani, inunue premio nkFX ukiweza kuwa mzuri kwenye RM, na ukawa mwenye subira ya kuingia sokoni.. huitaji Phd.. hata.. kila mtu anajua TA na hata FA.. pamoja na SA.. ila tuna fail kwenye RM kwasababu ya tamaaa
Asante Mirzs!Umependezaaa