Kazakh destroyer
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 3,968
- 8,108
hahaah niache nistaafu kwa heshima mkuu nimecheza sana na FX kwenye ujana wangu..sio mchezo huo mkuu, ni biashara kama biashara zingine 😀😀😀
hahaah niache nistaafu kwa heshima mkuu nimecheza sana na FX kwenye ujana wangu..sio mchezo huo mkuu, ni biashara kama biashara zingine 😀😀😀
Mimi sijui naanza kushona lini vitenge vyangu
Hajapotea huyu!
sie acha tuendelee kupambana aseee.. nataka gari ya $ xxxK.. na sehemu pa kuipata hiyo hela ni huko 😂😂😂hahaah niache nistaafu kwa heshima mkuu nimecheza sana na FX kwenye ujana wangu..
Mimi sijui naanza kushona lini vitenge vyangu
UmependezaaaHeaven Sent Hio sketi na shati .shati hizo ngazi 3 zinazotofautiana ukubwa. Sketi dizain mapande 6 ambayo chini hayajachanua ni chupa..pia sijafunga zipi sijui Ndio nimeongezeka sijui kipimo cha kifua alikosea!!View attachment 2079642
Heaven Sent Hio sketi na shati .shati hizo ngazi 3 zinazotofautiana ukubwa. Sketi dizain mapande 6 ambayo chini hayajachanua ni chupa..pia sijafunga zipi sijui Ndio nimeongezeka sijui kipimo cha kifua alikosea!!View attachment 2079642
nilikuwa pia na ndoto hizo mpaka niliandika kwenye master plan na kwenye wallpaper niliweka picha ya gari husika, results!? niko selfika nasubiri kuwaona kina mahondaw ndo usingizi uje..sie acha tuendelee kupambana aseee.. nataka gari ya $ xxxK.. na sehemu pa kuipata hiyo hela ni huko 😂😂😂
Ulikuwa na haraka sanaaaa mkuu.. mie ku withdraw hela ni hadi mwezi wa 12.. kwa mwaka natoa hela mala moja mzeee..nilikuwa pia na ndoto hizo mpaka niliandika kwenye master plan na kwenye wallpaper niliweka picha ya gari husika, results!? niko selfika nasubiri kuwaona kina mahondaw ndo usingizi uje..
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥Heaven Sent Hio sketi na shati .shati hizo ngazi 3 zinazotofautiana ukubwa. Sketi dizain mapande 6 ambayo chini hayajachanua ni chupa..pia sijafunga zipi sijui Ndio nimeongezeka sijui kipimo cha kifua alikosea!!View attachment 2079642
hii tunaomba ugeuke kwa heshima na taadhima..Heaven Sent Hio sketi na shati .shati hizo ngazi 3 zinazotofautiana ukubwa. Sketi dizain mapande 6 ambayo chini hayajachanua ni chupa..pia sijafunga zipi sijui Ndio nimeongezeka sijui kipimo cha kifua alikosea!!View attachment 2079642
Hakika. Tamaa zinatusumbua halafu tunasingizia Mambo mengineKey ni RM.. ukikosana na RM fx ni lazima ikutoe mchezoni..
AsanteNa mwili unao. Ni kwenda kuzifix tu kidogo. Fundi naye anajitahidi
sasa mkuu mtu unategemea uishi kupitia FX unatarajia nini!? naingia kupambana angalau nipate chakula cha family na nilikuwa na spirit kali sana ya kuukimbia umaskini lakini odds hazikuwa upande wangu..Ulikuwa na haraka sanaaaa mkuu.. mie ku withdraw hela ni hadi mwezi wa 12.. kwa mwaka natoa hela mala moja mzeee..
😀😀 kinachofanya soko gumu ni tamaaa.. mtu anataka aamke tajiri as if ana drive soko yeyeHakika. Tamaa zinatusumbua halafu tunasingizia Mambo mengine
na hujadakwa na umaskini vizuri ukakamatwa kwenye kona hiyo utajua ni tamaa au ni mataa hahaha..😀😀 kinachofanya soko gumu ni tamaaa.. mtu anataka aamke tajiri as if ana drive soko yeye
Sure, na sio kila biashara huwa inakubalisasa mkuu mtu unategemea uishi kupitia FX unatarajia nini!? naingia kupambana angalau nipate chakula cha family na nilikuwa na spirit kali sana ya kuukimbia umaskini lakini odds hazikuwa upande wangu..
hiyo ya withdrawing mara moja kwa mwaka maana yake una plan A,B,C,D..
😀😀😀😀🔥 huwa nacheka sanana hujadakwa na umaskini vizuri ukakamatwa kwenye kona hiyo utajua ni tamaa au ni mataa hahaha..
kabisa mkuu wangu, sahii nataka kutega vilipuzi kwenye FX nyingine kwenye miti ya dawa hii consistency yake sio kama FX kunisomesha vitabu kama natafuta PHD no, 3 months tu namtafuta broker anipe changu..Sure, na sio kila biashara huwa inakubali