haahah mkuu kuna ubaya gani kuinspayiana aisee..😊😊😊😊 sasa mie nifanye kitu fake ili iweje mkuu.. kama huamini baki na kutokuamini.. mie uzuri sifundishi FX na leo imekuwa mala yangu ya kwanza na mwisho ku post.. na nimefanya hivyo kwa ajiri ya mwana donlucchese kama kumpa salama soko linaendaje kwake
kwahyo nikuelekeze hapahapa au nije mwanza au tutengenezewe group na moderators..Ni manini hayo lakini?🙄🙄🙄 9.8ms squared mpambe sana tumuuze tu walahi!
atuache zetu..Utamuweza huyo??? Kwa kuchochea hajambo!😁
Kijana Mpambe weeeee👈👈👈!!! Hakika utafika umechoka sanaaaa🤣🤣🤣🤣!hapana Pendael24 sio domo zege, ila ana kuheshimu sana na ana upendo wa dhati toka uvunguni wa moyoni mwake.. hata zamani baba zetu waliwatuma baba zao kuelezea hisia zao kwa wapendao.. ni utaratibu tuu 😊😊😊
😁😁😁.. aaah! wapi kwanza leo nimefanya makosa kupost hiyo.. huchelewi kuitwa Ontario 2 😂😂😂😂..haahah mkuu kuna ubaya gani kuinspayiana aisee..
mkuu huu ndo mwezi wa kuongeza mke wadada watatu kuendesha sio jambo dogo....dereva kilo 45 mashine anazoendesha Mercedes-Benz 3355 V8..😁😁😁😁😁.. Hii january mbona tunaiangushia sana msalaaaa 😂😂😂
Watu na vitengo vyenyuuu!!! Heshima yako bro!!
hahaaha usinitajie huyo jamaa aisee tusiharibiane jioni..😁😁😁.. aaah! wapi kwanza leo nimefanya makosa kupost hiyo.. huchelewi kuitwa Ontario 2 😂😂😂😂..
Kwa sasa bado niko Dom dada, nikifika Dar tu nitakutaarifu.
Uwe na amani kabisaa Pendael24 hana makuu.. mnaweza hata fanya michongo ya biashara mie ni mentoe wangu yule kwenye mambo mengi 😊😊Kijana Mpambe weeeee👈👈👈!!! Hakika utafika umechoka sanaaaa🤣🤣🤣🤣!
Si kweli, tunadunduliza…Watu na vitengo vyenyuuu!!! Heshima yako bro!!
😀😀😀😀😀.. sokoni kuna kila aina ya mtuhahaaha usinitajie huyo jamaa aisee tusiharibiane jioni..
Lee Heaven Sent 9.8ms squared Shimba Ya Buyenze reymage kuna hii mishono nilipeleka kwa fundi kabla ya kuomba mishono kwa ma mtumishi HS ...... Ile ya HS mpaka next week
Mkuje kuona sasa!
Nipo dodoma na mie ☺️☺️☺️Kwa sasa bado niko Dom dada, nikifika Dar tu nitakutaarifu.
Weeehhhhh!!! Acha utani asee!Si kweli, tunadunduliza…
sahii nafanya tangible things bhana FX imenipandisha ndege na nashukuru sana ila for now sitaki kupata pressure ya kuvumilia number nyekundu trade ikienda against ni msala..😀😀😀😀😀.. sokoni kuna kila aina ya mtu
C. C Kaka yangu Pendael24 umeona anapenda mishoni, yule designer kama bado yupo uje umpeleke mahondaw atafurahi mwenyeweLee Heaven Sent 9.8ms squared Shimba Ya Buyenze reymage kuna hii mishono nilipeleka kwa fundi kabla ya kuomba mishono kwa ma mtumishi HS ...... Ile ya HS mpaka next week
Mkuje kuona sasa!
😊😊😊 hii simpe sana ku manage, tumia lot size. ambayo ni resonable.. zingatia RM unaweza fungua zako position ukaja angalia keshosahii nafanya tangible things bhana FX imenipandisha ndege na nashukuru sana ila for now sitaki kupata pressure ya kuvumilia number nyekundu trade ikienda against ni msala..