Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

IMG-20220113-WA0446.jpg
 
lets say nina $2000 napaswa kufungua lot size gani ambayo itakuwa less risky..
kama hiyo 5% ambayo ni $100.. au less than 5%.. hauta trade kwa stress kabisaa.. fanya setup yako jirizishe vyema tia TP yako nw SL yako kaa pembeni.. hapo kwa hiyo ration una trade mala 20 au zaidi.. kama utaweka win:lose ratio nzuri utakaa sana sokoni.. mchawi huwa ni RM tu wala sio utaalamu..
 
kama hiyo 5% ambayo ni $100.. au less than 5%.. hauta trade kwa stress kabisaa.. fanya setup yako jirizishe vyema tia TP yako nw SL yako kaa pembeni.. hapo kwa hiyo ration una trade mala 20 au zaidi.. kama utaweka win:lose ratio nzuri utakaa sana sokoni.. mchawi huwa ni RM tu wala sio utaalamu..
so trade ikienda pips 150 napata nini kwa harakaharaka!? tena pair isiyo na thamani kubwa kama EURUSD..
 
so trade ikienda pips 150 napata nini kwa harakaharaka!? tena pair isiyo na thamani kubwa kama EURUSD..
Unapiga hesabu entry yako, pips ambazo upo tayari kupoteza it means kama unatakakunali poteza $ 50, =kwa 0.10 ni pips 50.. tazama entry yako plus mahala ambapo manipulation inatokea ina ruhusu wengi huweka 20 ndio maana zinapigwa.. kama una lose 50 pis na una win 150 good.. unapata $ 150
 
Yeah mikono ni mizuri sana. Na sio lazima ushone solo ndefu; siku nyingine solo fupi na unanoga vizuri tu. Imekukaa vizuri sana
Heaven Sent Hio sio ndefu sana sema nilipenda dizain ya mikono nahapo shingoni ila kuanzia kwenye belt kuelekea chini dizain panaelekeana nazileee. Hapo nyuma zipu sijafunga dizain inabana so fundi ataipanua kifuani..View attachment 2079634
 
Unapiga hesabu entry yako, pips ambazo upo tayari kupoteza it means kama unatakakunali poteza $ 50, =kwa 0.10 ni pips 50.. tazama entry yako plus mahala ambapo manipulation inatokea ina ruhusu wengi huweka 20 ndio maana zinapigwa.. kama una lose 50 pis na una win 150 good.. unapata $ 150
aisee ngoja niendelee kulima mkuu huu mchezo umenishinda..
 
Back
Top Bottom