Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Screenshot_20220112-083148.jpg
 
Unaandika capital T kila mahali au naona vibaya??? Ila mwandiko unafaa kuniandikia barua!
Kashaija jana nilifika katavi naona barabara safi kabisa .. kwenye lile pori la kutokezea mpanda kuna sehemu ilikua mbaya sana walirekebisha mwaka jana kwa kuweka lami. Sijajua ya huko mbele kuelekea sumbawanga na mbeya ikoje!
 
Kashaija jana nilifika katavi naona barabara safi kabisa .. kwenye lile pori la kutokezea mpanda kuna sehemu ilikua mbaya sana walirekebisha mwaka jana kwa kuweka lami. Sijajua ya huko mbele kuelekea sumbawanga na mbeya ikoje!
Karibu sana, ukifika Mbeya nishtue twende Mbeya pazuri tupate kitimoto roast (ingawa mie sio mlaji)
 
Back
Top Bottom