Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375


Homo Sapiens tunachokitafuta na hii teknolojia ya Artificial Intelligence tutakipata tu...SAMSUNG NA STAR LAB ZAFANIKIWA KUTENGENEZA BINADAMU WASIO HALISI
Soma - Samsung yatengeneza binadamu wasio halisi wenye uwezo wa kufanya kazi kama binadamu wa kawaida
#JFTeknolojiaView attachment 2077530




NIKURUDISHIE NINI BWANA



Umenilinda mwaka huuLengo langu kuu kwa mwaka huu ni kuwa karibu na Mungu.
Mungu na Anisaidie
***********
View attachment 2077570
NIKURUDISHIE NINI BWANA
Na Mch. Mbarikiwa Mwakipesile
Mimi nikurudishie nini Bwana
Kwa wema na fadhili zako ulizonitendea
Umenilinda mwaka huu
Umeilinda familia yangu
Tumekulipa nini Bwana
Mpaka ututendee haya
Angalia uliyofanya kwangu Bwana
Mpaka nikawa hivi
Nimelipa nini kwako?
Lakini nakaa najiuliza
Naweza kukulipa nini Bwana
Ili kitoshe kwako
Ninachotoa ni moyo wangu
Utende mema kwako
Ndiyo zawadi pekee niwezayo kukupa....
..................................


Good morning big boss
Nakupenda sana ingawa wanaukita demu wa UswahiliniShusha nondo za prof j hapa na Mangwair tutaongea lugha moja.
Hizo za wabana pua huwa siangalii![]()
Kwenye ukarimu wasukuma hawana mpinzani they are good people!!!mnooo nawapa A plusWasukuma ni hatareee.... Mpo vizuri mnoooo mnoooooooo! Huo ugali wa mtu mmoja sio!!
Mbona mnataka kuninenepesha tenaaaaa jamani Nina oparesheni maintain- mwili mjuee !
Mzee wetu Cal. Mika Metili (78) akiwa na mkewe mpya (27) ktk ndoa iliyofungwa KKKT USH WA ILBORU 09.01.2022
Walianza na utaratibu wa kurudi kundini na kibatiza mtoto wao wa miezi 7.
Mke wa kwanza wa Col. Metili alifariki 2021 kwa tatizo la upumuaji.
Tuwatakie ndoa njema na amani tele mzee wetu Mika na mjukuu wake huyu!
Vijana mmelaaalaaa,.laaalaaa..laaa!!!View attachment 2077421









