ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,443
- 119,028
Ewaaa...nasubiri majibu ya necta! Ila nshazoea kufeliOmbi lako linajadiliwa halmashaurini![]()



Ewaaa...nasubiri majibu ya necta! Ila nshazoea kufeliOmbi lako linajadiliwa halmashaurini![]()



Manake ni kuwa kweli bado wewe ni mdogo. Kwa akili zangu nitakukomaza kabla ya wakati.Aisee nimetoka kapa ,nieleweshe basi rafiki .
DuhManake ni kuwa kweli bado wewe ni mdogo. Kwa akili zangu nitakukomaza kabla ya wakati.
Thubutuu ushaambiwa lasiti boniAnajuaje vitu vya wakubwa wakati kashuhudia hajawa mkubwa bado![]()
Nitafunga 40 kavu mlimani sayuni kukataa roho ya kufelEwaaa...nasubiri majibu ya necta! Ila nshazoea kufeli![]()
Wakati natengeneza mazingira, tupate selfie moja basi jamani...Thubutuu ushaambiwa lasiti boni
Nikiwa huku sitoagi sana selfie🤣🤣Wakati natengeneza mazingira, tupate selfie moja basi jamani...
Matron hapo ni kwa wanafunzi, nipo tayari kukupeleka kwenye kiwango chako
UmezinguaNikiwa huku sitoagi sana selfie![]()
Kwanini tena jamanUmezingua
unanitenga kalumbu.....balimi ya 3 inakuaga tamu sanaKalumbu umepotea sana humu aseee
Nilizimiss Balimi hatimaye leo nimezifuma kipande hii maana sehemu nyingi hawaziuzi siku hizi hasa DarView attachment 2076097View attachment 2076098View attachment 2076099





wapi huku kalumbuKalumbu umepotea sana humu aseee
Nilizimiss Balimi hatimaye leo nimezifuma kipande hii maana sehemu nyingi hawaziuzi siku hizi hasa DarView attachment 2076097View attachment 2076098View attachment 2076099
shukran mkuu wangu..Asante mkuu Na kwako pia.Mungu akulinde
Haha mie Ni mtu wa hovyo hovyo tuMmh! Naona kazi maalumu, mtu maalumu
Si kweli japo kule UDOM kuna hadi Mabasi yanayokodiwa na wanafunzi kwa ajili ya kuwapeleka hapo tu! Lakini hata hivyo marafiki zangu wengi wa Dodoma ni wanafunzi wa UDOM!Matron hapo ni kwa wanafunzi, nipo tayari kukupeleka kwenye kiwango chako
Hahaa Kalumbu mimi siyo mlevi mimi mnywaji ujueunanitenga kalumbu.....balimi ya 3 inakuaga tamu sana![]()