Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,541
- 88,493
balimi?Hahaa Kalumbu mimi siyo mlevi mimi mnywaji ujue
wasalimieDodoma![]()
Sitaki ukalewe Matron, nataka ukanywe kwenye level zako. Huko palikofungwa waachie wanafunzi.Hahaa Kalumbu mimi siyo mlevi mimi mnywaji ujue
Imefanyaje Mkuubalimi?
Zimefika Salamawasalimie
hasa pale kwenye kitimoto kwa kusilaZimefika Salama
Hiyo nimemquote mtu mwingine mkuu, Wewe nilishakuquote angalia vizuri somewhere juu hapo.Sitaki ukalewe Matron, nataka ukanywe kwenye level zako. Huko palikofungwa waachie wanafunzi.
NB: Mimi sio kalumbu japo kuwa kalumbu sio dhambi, maisha ndo yanatuleta huku
ndo unainywa?Imefanyaje Mkuu
Nimekuelewa matron, ngoja nikarekebishe pale juuHiyo nimemquote mtu mwingine mkuu, Wewe nilishakuquote angalia vizuri somewhere juu hapo.
ok..safi ..wambie wakupe tatu zingine ( balimi)Yeah naonjaga mara moko moko![]()
hahahaha..
Pestana ilikua ya wote kipindi ilipoanzishwa, ila sikuhizi zaidi ya robo tatu ni wanafunzi. Ukiingia utaona vitabia flan vitakavyokufanya ujue kua haupo sehemu ya namna yako.Si kweli japo kule UDOM kuna hadi Mabasi yanayokodiwa na wanafunzi kwa ajili ya kuwapeleka hapo tu! Lakini hata hivyo marafiki zangu wengi wa Dodoma ni wanafunzi wa UDOM!
kufahamiana na nani ?Mkuu kabila jr
Mnafahamiana nyie
![]()
niko domDodoma![]()