Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Pestana ilikua ya wote kipindi ilipoanzishwa, ila sikuhizi zaidi ya robo tatu ni wanafunzi. Ukiingia utaona vitabia flan vitakavyokufanya ujue kua haupo sehemu ya namna yako.

Ndio maana mmiliki akawaletea bambalaga ambayo wanafunzi ni marufuku. Japo hii inatesa watu wazima wenye looks za ubichi.
Kumbe Bambalaga na Pestana ni za mtu mmoja? Sasa mkuu mbona nimeambiwa Pestana imefungwa permanently na sasa hivi Bambalaga ndiyo habari ya mjini sasa hao wanafunzi wataenda wapi?

Halafu Bambalaga ile tabia ya wale mabaunsa kuzuia watu kuingia kisa mionekano tu siyo poa wala nini! Mkuu donlucchese au na mimi siku nikienda niwaambie mi mdogo wake Bigi CDO labda watakubali?
 
Back
Top Bottom