Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
Pamoja sanando yale ya kukataliwa salamu hadharani, haya mama taifa lijengwe mdogo mdogo tutafika...
Pamoja sanando yale ya kukataliwa salamu hadharani, haya mama taifa lijengwe mdogo mdogo tutafika...
Ufukunyuku sasa Mdogo wangu.ndo nini sasa kucheka hivyoChaaaa![]()
Kabisa aise dahMuda mwingine bora kusema ukweli tu .
Umegunaje kwani!!Mmmh
Nimecheka kizembe sana ujue🤣🤣🤣Najua huwezi kunitaka, na wewe ukae tu kwa utulivu, hii dam ina tatizo mahali.
👊🏿👊🏿mi sipo pamoja..
Hem tuone inaendaje, huenda ikawa mwaka wangu, 2022 itakuwa maajabu haya!Tutaanzia mwanzo Kwa mfano



Sijui niendelee kubetule uzi bhana ulinifanya nifunguke sana
Yule mwamba bado chembechembe zake zipo![]()
huenda nikamjua.Nimeguna kawaida tu rafiki .Umegunaje kwani!!
Sasa hii bahati isiishie kufurahia mwandiko kama wa AnneNimecheka kizembe sana ujue
Kwanini nisiweze sasa unaona unavyopishana na bahati



Unachinjia watu ziwa victoria.Ufukunyuku sasa Mdogo wangu.ndo nini sasa kucheka hivyo
Nakupa nafasi ya mwisho leo kubet.ukichana mkeka tutakuwa tumefunga ukurasaSijui niendelee kubethuenda nikamjua.
Kaumri kako kanaruhusu kuelewa nini nilimaanisha?Nimeguna kawaida tu rafiki .
Manake Anne na udogo wake alielewa na kucheka sana...


Ngoja nipitishe swala lako katika halmashauri ya kichwa changuHem tuone inaendaje, huenda ikawa mwaka wangu, 2022 itakuwa maajabu haya!![]()
Aisee nimetoka kapa ,nieleweshe basi rafiki .Kaumri kako kanaruhusu kuelewa nini nilimaanisha?Manake Anne na udogo wake alielewa na kucheka sana...
![]()
Ombi lako linajadiliwa halmashaurini🤣Sasa hii bahati isiishie kufurahia mwandiko kama wa Anne![]()
🤣🤣🤣🤣 kumbe bado hujayaelewaga majibu yangu ya kuishia hewani e😆Unachinjia watu ziwa victoria.
Hivi hujuagi Saint Anne ni mkuda eee🤣Kaumri kako kanaruhusu kuelewa nini nilimaanisha?Manake Anne na udogo wake alielewa na kucheka sana...
![]()
Asante mkuu Na kwako pia.Mungu akulindehaya goodnight..