Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
😂😂😂😂😂Anatuzidi hadi malastborn
😂😂😂😂😂Anatuzidi hadi malastborn
Amen 🥰🥰🥰siku utakayoanza maombi hayo juu yangu niambie tuungane Kwa pamoja..dada ako,I,u And all singoz wa humu JfNatamani iwe kwako pia kama jinsi ninavyoona kwa huyu.
hatujakutana barabarani... sie tumejuana toka mbinguni kabla ya kuumbwa misingi ya duniaTulikotoka ni mbali😂😂😂😂😂😂😂
Inategemea wanakaa nyumbani kwa sababu gani na malengo gani. Mfano sisi kwetu (mfumo wa wazee wetu); binti huruhusiwi kwenda kupanga nje, unless umepata kazi mbali na nyumbani (mkoa mwingine). Utakaa hapo ufanye maisha yako na maendeleo yako; hadi siku utakapokabidhiwa cheti cha ndoa kutoka kanisani, ndiyo utatoka sasa kwa baraka zote za rohoni na mwilini. Ukipatia mimba nyumbani sasa...... (nitamalizia siku nyingine).Ah nikiwaonaga hata wakubwa wapo nyumbani basi hata siogopi yaani.
Sijui ana mpango,sijui hana hata sijui ila ana katoto kake karafiki kangu sana.
Ndio naishi naye hapa mjini.
Sawa nitakuambiaAmensiku utakayoanza maombi hayo juu yangu niambie tuungane Kwa pamoja..dada ako,I,u And all singoz wa humu Jf

HeeNikiamua kujidekeza mtakatifu urudi darasaniingawa ukiniona ni mkaksi







Maandamano yataanzia wapi niwaletee Na malastboni wengine






Yani vinajikutaga kutaga tu kama vyenyewe vina haki muda wote
Hata sisi huwezi panga bila sababu za msingi.Inategemea wanakaa nyumbani kwa sababu gani na malengo gani. Mfano sisi kwetu (mfumo wa wazee wetu); binti huruhusiwi kwenda kupanga nje, unless umepata kazi mbali na nyumbani (mkoa mwingine). Utakaa hapo ufanye maisha yako na maendeleo yako; hadi siku utakapokabidhiwa cheti cha ndoa kutoka kanisani, ndiyo utatoka sasa kwa baraka zote za rohoni na mwilini. Ukipatia mimba nyumbani sasa...... (nitamalizia siku nyingine).
Uombe tu Mungu isije ikawa ni tendency mabinti hadi mnazeeka hamjaolewa. Mnajikuta mmejaa wote home hadi 40s+
.
baada ya shule nikarudi kujoin timu.Sisi ni watoto wa mwishoVyenyewe tu ndiyo vitoto, wenzao sio![]()




Wala kaache tu(hii kauli imejaa unyenyekevu mno)..
Tunakataa machozi Kwa namna zotesema hallelujah mtumishi wa Bwana.Ila kabadilike tu maana wanaume hawataki kuendeshwa)
Chaubishi Saint Anne ukipata mchumba niweke kwenye list ya michango Mdogo wangu
Sawa kabisahatujakutana barabarani... sie tumejuana toka mbinguni kabla ya kuumbwa misingi ya dunia
Waambie hao.hatujakutana barabarani... sie tumejuana toka mbinguni kabla ya kuumbwa misingi ya dunia
Hallelujah
Siku yenyewe sasa ya mtu kuvaa shela; wala sitohitaji kujitambulisha; utasema tu hakika yule ndiyo Mama Mchungaji buana; Nigeria sio Nigeria, Mwakaleli sio Mwakaleli; yaani![]()






Hata sisi huwezi panga bila sababu za msingi.
Sema alijikoroga hapo katikati,alipewa ka uhuru akapishana na sisy alikuwa anakaa naye akaenda kupanga.
Akarudisha mpira kwa kipa nyumbani baada ya wazazi kusogea mjini.
Ndo naishi naye huku,tumepanga naye.
Sema nampenda mpambanaji sana.
Kabla ya huku tulikuwa naye Mbeya nyumbani ,,,,tumebaki wawili tubaada ya shule nikarudi kujoin timu.
Sawa nitakuambia
Ngoja tumsikilize Roho wa Mungu.
Nitamshirikisha pia dada mkubwa HS.
Hakika.Mungu ni mwema; anatupa nafasi tena na tena za kurekebisha tulipokosea.





.Hii tabia yako siikubali
Mwambie atuache kabisa last borns...tuna sehemu yetu muhimu sana nyumbaniMweee
Haiwezekani,
Last born tuungane tuingilie kati hili jambo.

Mimi ukiniombea tafadhali sana niombee nipate pesaAmen
