Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
🤣🤣🤣🤣🤣mweeeeeeeMwee🤣
🤣🤣🤣🤣🤣mweeeeeeeMwee🤣
Namuaminia T 1990 ELY .. lazima mahondaw afurahie.. 😊😊😊.. usimuonee tu wivuMwambie kabisa asikuangushe Kwa mahondaw tafwazali
Tulipewa mamlaka tangu tukiwa tumboni maana si kwa utata huu😁🤣🤣🤣🤣
Kama anakatoto kake safi sana lakini pia si salama saaana kwako wewe ni liroho hilo..jaribukuliweka hilo swala katika maombi tena ikiambatana Na mfungo.Ah nikiwaonaga hata wakubwa wapo nyumbani basi hata siogopi yaani😁.
Sijui ana mpango,sijui hana hata sijui ila ana katoto kake karafiki kangu sana.
Ndio naishi naye hapa mjini.
Hebu niwache mieNamuaminia T 1990 ELY .. lazima mahondaw afurahie.. 😊😊😊.. usimuonee tu wivu
nikuwache waenda wapii 😧😧Hebu niwache mie
🤣🤣I seeTulipewa mamlaka tangu tukiwa tumboni maana si kwa utata huu😁
Huwa namuombea sana na najiombea na sitamani nipite huko ..japo hivi karibuni nimekuwa nikifunuliwa habari njema juu yakeKama anakatoto kake safi sana lakini pia si salama saaana kwako wewe ni liroho hilo..jaribukuliweka hilo swala katika maombi tena ikiambatana Na mfungo.
Uko Na mfano mbaya Na mbaya zaidi unaona ni sawa
Kwa daddy wangu SYBnikuwache waenda wapii 😧😧
Ila mmetusimanga tutapunguza😁🤣🤣I see
Hii ni habari njema sna Na imenipa furahaHuwa namuombea sana na najiombea na sitamani nipite huko ..japo hivi karibuni nimekuwa nikifunuliwa habari njema juu yake
Uzuri kule juu kuna sheet za mfano,,dada yangu mlezi(si huyu) ndio mfano wangu.
Ila kwa jinsi alivyofight na katoto acha tu.
Sasahivi kamekua kila mtu anakatamani..kalivyokuwa tumboni mikono ilijaa.
😁😁😁 unadeka na weweeeeeKwa daddy wangu SYB
Na tutawasimanga mpaka ukamilifu wa dahariIla mmetusimanga tutapunguza😁
Natamani iwe kwako pia kama jinsi ninavyoona kwa huyu.Hii ni habari njema sna Na imenipa furaha
Mweee😂😂😂😂😂Na tutawasimanga mpaka ukamilifu wa dahari
Anatuzidi hadi malastborn😁😁😁 unadeka na weweeeee
Tena kuna wakati nadeka Mpaka najisahau kuwa mdeko ni wa watu wembamba tu.😁😁😁 unadeka na weweeeee
Maandamano yataanzia wapi niwaletee Na malastboni wengineMweee😂😂😂😂😂
Haiwezekani,
Last born tuungane tuingilie kati hili jambo.
Nikiamua kujidekeza mtakatifu urudi darasani😆😆 ingawa ukiniona ni mkaksiAnatuzidi hadi malastborn