Jogoo wa Shamba II
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 3,393
- 6,562
Mchana mwema na uwe kwenu wakuu
Wala kaache tu(hii kauli imejaa unyenyekevu mno)😆😆..Wala, kaache tu. Katakuja kutusimulia hapa na machozi (God forbid)
Tutakuondoa Kwa lazima.tunapingana Na roho za kula ugali Na maharage nyumbani Kwa wazazi😂😂😂😂😂😂😂
Kwa jinsi ninavyokula bata na ugali wa bure nyumbani,Hata mawazo ya kuondoka nyumbani sina.
Key holder zile zenye majina .Sijaona picha, ni tunini?
Kabisa yaaniYani vinajikutaga kutaga tu kama vyenyewe vina haki muda wote



Wala kaache tu(hii kauli imejaa unyenyekevu mno)..
Tunakataa machozi Kwa namna zotesema hallelujah mtumishi wa Bwana.Ila kabadilike tu maana wanaume hawataki kuendeshwa)
Chaubishi Saint Anne ukipata mchumba niweke kwenye list ya michango Mdogo wangu









Tutakuondoa Kwa lazima.tunapingana Na roho za kula ugali Na maharage nyumbani Kwa wazazi







Naona ujasiri Na ushujaa Wenu unaanzia tangu kutungwa mimba kha😁😁Kabisa yaani
Hatupendi unyonge
Ndo uache ubishi wa kwenye mpira Na kubet sasa
Sawa,siwezi kukusahau.
Inawezekana kabisa.Naona ujasiri Na ushujaa Wenu unaanzia tangu kutungwa mimba kha![]()



Mkuu wewe moustache wako una pembejeo kuliko kawaidaMchana mwema na uwe kwenu wakuuView attachment 2075861


Nikipenda nakuwaga zobaNdo uache ubishi wa kwenye mpira Na kubet sasa
Amen

Ngoja kaumri kakate ndo utajua hujui🤣🤣
Niende wapi kuteseka sasa.
Kuna dada yangu age mate wako yupo,mimi ni nani haswa nipate kiherehere cha kukimbia![]()
Jamani jamani🤣🤣Mkuu wewe moustache wako una pembejeo kuliko kawaida![]()
Zoba ni wimbo huo ujueNikipenda nakuwaga zoba![]()
Zoba ni wimbo huo ujue
🤣🤣🤣🤣!! Nawaaminia!
🤣🤣🤣🤣Inawezekana kabisa.
Ulast born raha ,asikwambie mtu![]()
Ah nikiwaonaga hata wakubwa wapo nyumbani basi hata siogopi yaani😁.Ngoja kaumri kakate ndo utajua hujui🤣🤣
Age mate wangu!!maana ni 30’s sio!!na yuko nyumbani!ana habari ya kuhama nyumbani au habari yenyewe hana!tuanzie hapo kwanza