Wazembe halafu wana tabia ya kujisikia fulani hivi. Na ndiyo hao wanaoongoza kwa kuchagua wanawake na wanaamini kuwa kila mwanamke anawataka na anawashobokea kumbe wangejua wengine tunawachukulia kama vivulana ambavyo havijabalehe.
Dooh naimagine eti kamwanaume kacute ndiyo kananioa mimi halafu na kenyewe kanajiita baba wa familia nyieee mbona ngumu kumesa. Nitakaonea bure tu jamani maana nitakuwa nakaona kavulana hiyo nafasi inawafaa wanaume wenye sura za kiume.
Wazembe halafu wana tabia ya kujisikia fulani hivi. Na ndiyo hao wanaoongoza kwa kuchagua wanawake na wanaamini kuwa kila mwanamke anawataka na anawashobokea kumbe wangejua wengine tunawachukulia kama vivulana ambavyo havijabalehe.
Dooh naimagine eti kamwanaume kacute ndiyo kananioa mimi halafu na kenyewe kanajiita baba wa familia nyieee mbona ngumu kumesa. Nitakaonea bure tu jamani maana nitakuwa nakaona kavulana hiyo nafasi inawafaa wanaume wenye sura za kiume.
Wazembe halafu wana tabia ya kujisikia fulani hivi. Na ndiyo hao wanaoongoza kwa kuchagua wanawake na wanaamini kuwa kila mwanamke anawataka na anawashobokea kumbe wangejua wengine tunawachukulia kama vivulana ambavyo havijabalehe.
Dooh naimagine eti kamwanaume kacute ndiyo kananioa mimi halafu na kenyewe kanajiita baba wa familia nyieee mbona ngumu kumesa. Nitakaonea bure tu jamani maana nitakuwa nakaona kavulana hiyo nafasi inawafaa wanaume wenye sura za kiume.