Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
😁😁😁😁... Chimbo hilo.. kuna kipindi hadi walinikalili wakahisi nafanya biashara ya madini.. kama mkakati tu.. wa mda mrefu 😁😁😁Ulikataa kwenda Malaika? Basii stop telling people you were in Mwanza. Lol
Me Nililala pale, umaskini mbayaa mdogo wangu. Nilitamani kusikuche ' breakfast nilitamani nikaazime tumbo huko nje.




..Kwanza wote wapole alafu watu wa church
..Ndugu yako