cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,169
Nani mwingine akupe sifa na picha hajaonaDepal kwamba hujamzoea Anne na upambe wake? Uliwahi msikia nani mwingine ananipa hizo sifa?



Ooooooh kumbeeeh, hapo sawaa.Work mate mamaa! Sina namna!
Hehehe!Mimi ni special case Heaven Sent
🤣🤣🤣🤣🤣! Kila la kheri shooo!!! Kijana aache visingizio hahaha!! Ooopsss nimesahau nimesema leo sitii menoo 🤭🤭🤭leo kna mtu litamkuta jambo, kashaanza kujiliza oooh leo siko sawa, ila fresh ucjar tutajua hapo hapo, sasa atajua hajui.
![]()
Ungekuwa jirani yangu ningekuwa nakuamsha kila siku asubuhi ukaruke kamba..unene na kitambi siyo poa kbsMa nakula ila najizuia kwa lazima sababu nanenepa tumbo, mashavu na miguu inajaa ' sasa hii ni mbaya kwangu sababu kazini muda mwingi nakaa.
Em tumia dawa za minyoo kwanza...

. Acha kunizingua bana
Akina nani hao??
Si ndio sisi hao.
Nani mwingine akupe sifa na picha hajaona![]()







wee muache huyo hata hajui nini anataka, kitambi cha nn bhana weeMiguu wapi!Wewe si umeiona miguu tu? Wanaonijua kabisa, hata nikikatiza, wanalijua chogo langu. Acha kunizingua bana
Ungekuwa jirani yangu ningekuwa nakuamsha kila siku asubuhi ukaruke kamba..unene na kitambi siyo poa kbs
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Oya Bob mbn unabadili majina bila taarifa?Huo ni ubinafsiii.. sio lazima wote mpate raha, mmoja akipata inatosha



Miguu wapi!
Hao wengine hawapo humu wenye uzi.
Humu si waliona ile awamu ya wote pekeyake ..awamu ya wateule hawakuona.Unafikiri uliiona peke yako + bado wanaonifahamu physically kibaooo
Jipange mwaka mzima, ukakae wiki..Hee!
Sasa si mshahara wangu wa mwezi mzima ntautafuna siku moja![]()
Ulikataa kwenda Malaika? Basii stop telling people you were in Mwanza. Loltatzo sina interest na mambo hayo, nlikataa kwenda hapo, kumbe kuna maajabu sana hivyo?
Yaan tunauguliaa maumivu ila bas tyuuh.Nani mwingine akupe sifa na picha hajaona![]()




Mkuu habari ya weekend aseee 😁😁😁Oya Bob mbn unabadili majina bila taarifa?
Hili liwe la mwisho
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Mweee unanitisha??Endelea na huu ubishi, uone kama nitakuwa wifi ako![]()


