Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ma nakula ila najizuia kwa lazima sababu nanenepa tumbo, mashavu na miguu inajaa ' sasa hii ni mbaya kwangu sababu kazini muda mwingi nakaa.

Em tumia dawa za minyoo kwanza...
Ungekuwa jirani yangu ningekuwa nakuamsha kila siku asubuhi ukaruke kamba..unene na kitambi siyo poa kbs

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Hee!
Sasa si mshahara wangu wa mwezi mzima ntautafuna siku moja
Jipange mwaka mzima, ukakae wiki..
utafurahii.. napapenda sana.. njoo tuta share chumba mwezi ujao 😂😂😂

Kwa sie wabongo lazima ujiachange kidogo ukitaka kula holiday.. ama nasema uongo Depal
Screenshot_20220108_165403.jpg
 
Back
Top Bottom