Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,211
Nakuja wallaqh 😂Karibu PM. 🙈🙈😂😂
Nakuja wallaqh 😂Karibu PM. 🙈🙈😂😂
Acha uwoga bana,unasomeshaa baadae ndoa,ili aje anisababishie murder case hunitakii mema wewe..

Hahahahah bwana wee yani wananionea ila tu napata wakati mgumu ku deal na wapuuzi flani wanaojifany praise team ya mazaNaona walikupeleka Golgotha teh. Uache utundu
Kg 43 kweli? Jitahidi huo mpakato uhamie behindNa kg 43 kweli?natakiwa kufanya kitu HS, hii sio sawa.




Jomoneeeh Mie nimepewa kila kitu, ila dimpoz tyuuh nimenyimwa,majanga mlongo
Ukipiga tukio,unadakwa fasta



, nikiwa mkubwa wallah ntatafuta pesa lazima niende ughaibuni nikaweke dimpoz, Dimpoz nazipenda sana, ktk kizaz chetu watoto 4 wana dimpoz. Mie nimenyimwa. 


stovu ,hii kwa sisi wazee
Baki tu huku na kwenye magari huko kwingine lazima Herode akunyoosheHahahahah bwana wee yani wananionea ila tu napata wakati mgumu ku deal na wapuuzi flani wanaojifany praise team ya maza
Nimechekaaa 🤣🤣🤣🤣Kg 43 kweli? Jitahidi huo mpakato uhamie behind![]()
Sasa dogo hilo tumbo umelitoa wapi?😂View attachment 2073276
Imagine 😥😥
Na tumbo huwa lina kiherehere jamani
Bora nibakie huku kwa wasupu huenda mkanipunguzia machungu siasa ya bongo imejaa keroBaki tu huku na kwenye magari huko kwingine lazima Herode akunyooshe
Ki friji😅View attachment 2073276
Imagine 😥😥
Kule siasani hadi huwa natamani kunyonga watu😂😂😂😂Hahahahah bwana wee yani wananionea ila tu napata wakati mgumu ku deal na wapuuzi flani wanaojifany praise team ya maza
Hahahahah sio upinzani ugumu ni pale mtu anapotetea uharo na kuuita ni pudding ya papai 😅Kule siasani hadi natamani kunyonga watu😂😂😂😂
Kumbe kuwa mpinzani ni kazi hivi!








wiii tafadhari fanya haraka mazoezi, wee had tumbo limekata matuta? Mie sitaki hebu fanya namna tumbo liwe flat bhana.mbona vitambi vinawependeza sana, hasa mkiwa mmechomekea 😊😊Na tumbo huwa lina kiherehere jamani
Na mimi nilijua tu ban ameipatia kule.,kule kunahitaji moyo wa chuma😂,,huwa napita nasoma mitifuano ya watu nacheeeka.Baki tu huku na kwenye magari huko kwingine lazima Herode akunyooshe
Nimetoka nalo Mwanza 😂Sasa dogo hilo tumbo umelitoa wapi?😂