wegman
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 1,470
- 2,095
Karibu sana. 😂Nakuja wallaqh 😂
Karibu sana. 😂Nakuja wallaqh 😂
Hivi wewe sahivi umefika ngapi?Na kg 43 kweli? 🤣🤣🤣 natakiwa kufanya kitu HS, hii sio sawa.
Kwahiyo umeenda kububuna mshahara wote ukauhamishia tumboniNimetoka nalo Mwanza 😂
🤣🤣🤣 linatokezea mbele mbele kama liliitwa.Na tumbo huwa lina kiherehere jamani
Mimi huwa napita kimyakimya, tena kwa kunyata. Sitaki sitiress. Una hamu na ban?Na mimi nilijua tu ban ameipatia kule.,kule kunahitaji moyo wa chuma,,huwa napita nasoma mitifuano ya watu nacheeeka.
Na mimi huu mwaka nataka nionjepo ban unafananiaje,nitashinda siasani hadi nipate kaban.
mi nataka aliyeiva vizuri kama wewe huyo wa kusindikiza na chumvi ngoja nizeeke kwanza..Acha uwoga bana,unasomeshaa baadae ndoa,
Pisi ya kizenji hiyo![]()
PoleJomoneeeh Mie nimepewa kila kitu, ila dimpoz tyuuh nimenyimwa,, nikiwa mkubwa wallah ntatafuta pesa lazima niende ughaibuni nikaweke dimpoz, Dimpoz nazipenda sana, ktk kizaz chetu watoto 4 wana dimpoz. Mie nimenyimwa.
![]()


Yaani hata ukipita kwa kunyata lazima tu upate hasira hasa ukisoma yale maoni hupendi kuyasikia..Mimi huwa napita kimyakimya, tena kwa kunyata. Sitaki sitiress. Una hamu na ban?
Ukiwa mnyonge kinakunyongesha. Kwa sisi makauzu; unatia tu high waist afu unajifanya hukioni, unajikuta Saint Anne na wewe. Na venye hakiumi wala hakiwashi khaaaambona vitambi vinawependeza sana, hasa mkiwa mmechomekea![]()
Tatizo wapo wanasoma badomi nataka aliyeiva vizuri kama wewe huyo wa kusindikiza na chumvi ngoja nizeeke kwanza..
,na wewe kusomesha hautakiKutuharibia tu pozi, shwain zakelinatokezea mbele mbele kama liliitwa.
Ni vile tu sina interest na siasa; so kule napita nikiwa bored. Ila ukiwa mkereketwa kule, lazima ban itakuhusuYaani hata ukipita kwa kunyata lazima tu upate hasira hasa ukisoma yale maoni hupendi kuyasikia..
Extrovert ananielewa vizuri how it feels maana tuna mitazamo sawa huyo kule siasani.
Naona unawatia moyo wenye vitambi😂😂😂😂😂😂Ukiwa mnyonge kinakunyongesha. Kwa sisi makauzu; unatia tu high waist afu unajifanya hukioni, unajikuta Saint Anne na wewe. Na venye hakiumi wala hakiwashi khaaaa
Mdada nikiona anakitambi akili inahama kabisaaa.. ila wenye vitumbo kama rula kama nyoka nawaoneaga sana huruma.. nahisi watakuwa wagonjwaa eeeh 🙄🙄🙄Ukiwa mnyonge kinakunyongesha. Kwa sisi makauzu; unatia tu high waist afu unajifanya hukioni, unajikuta Saint Anne na wewe. Na venye hakiumi wala hakiwashi khaaaa
Na cc hao wa 4 wamerithi kwa mama yetu mpendwa.Pole
Watoto tupo 5,watatu tunazo___wawili hawana
Urithi kwa mama kipenzi



Sasahivi wakereketwa tumekuwa wengi na hamna hali ngumu kama kuwa upande ambao hausapoti😂😂😂.Ni vile tu sina interest na siasa; so kule napita nikiwa bored. Ila ukiwa mkereketwa kule, lazima ban itakuhusu
af wakimaliza shule mapenzi yote kwenye mishemishe au mume!? mi nataka full time partnership..Tatizo wapo wanasoma bado,na wewe kusomesha hautaki
Mie nishazeeka nasubiri wajukuu tu
Kwa niaba ya vibonge wenzangu tunasema asantembona vitambi vinawependeza sana, hasa mkiwa mmechomekea![]()

Sasa mlongo,tulia kuwa mpole eeehNa cc hao wa 4 wamerithi kwa mama yetu mpendwa.
Yaan naona wivu mie kunyimwa dimpoz.![]()
Sasa kwenye ile picha uliona upande wa tumbo kweli? Khaaa dogo mpana weweNaona unawatia moyo wenye vitambi
Na hivi walipitwa na picha yako humu.