Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,918
- 136,634
😁😁😁 sema nakuwa mzito hatari.. uzito wa mifupani unaongezeka.. ikatokea nimekukanyaga unaweza hisi IST imepita juu yakoYes kwa wengine ni kweli kabisa.
Mnatusema 'mimi na SA.



sema nakuwa mzito hatari.. uzito wa mifupani unaongezeka.. ikatokea nimekukanyaga unaweza hisi IST imepita juu yako
Sina njaa😊Unasubiri nini kula? Em kale harakaaa
Wooooow had kidoti? Jaman watu mbna bahati zenu wallah.![]()


majanga mlongo
😂😂Mnatusema 'mimi na SA.
Wengine tunakosea wapi kwani? Hizi holiday nimejitahidi kula sana matokeo yake nikikaa napakata tumbo.Hahah my sisters ni mabonge hadi basi; lakini wao ndiyo sio walaji kabisa
Warda amekasirikaWarda![]()

Mwenzio nimenenepa tumbo 😂😂😂
Watuache
Kilichomkasirisha jamani?Warda amekasirika![]()
huko mbinga hujaacha mdogo mtu!?..
Nasubiri muhariko wa xmass hadi leoKilichomkasirisha jamani?

Sasa Warda unataka mualiko wa x mas, kitimoto ungekula? 😂Nasubiri muhariko wa xmass hadi leo![]()
KajilazimisheSina njaa![]()
sio kaka mimi mwenyewe nahusika hapo, kule kwingine pia yuko safi!?..
Mimi nishakata tamaa ,hata shingo imenishinda kunenepa.Mwenzio nimenenepa tumbo 😂