Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Sasa maajabu ya Mungu yalivyo,wanyakyusa tumekuja kuwapiga bao.Wapare unawajua?
Hata wachaga hawaoni ndani.
Mlete mpare hapa,sisi tuna huyo kaka tayari😂😂😂😂😂
Sasa maajabu ya Mungu yalivyo,wanyakyusa tumekuja kuwapiga bao.Wapare unawajua?
Hata wachaga hawaoni ndani.
Dada huyo kaka ni mzuri mno jamani
Hadi nimestuka kama kweli ni wa kule kwetu,,,kwa hapa haki ya nani tumewapiga bao hadi wachagga.
Yaani wapo🔥🔥hadi nimestuka🙈Kwa hiyo ulikuwa unawachukulia poa tall dark guys wa kwetu? Kaka zetu wapo vizuri weuweee


Sasa maajabu ya Mungu yalivyo,wanyanyusa tumekuja kuwapiga bao.
Mlete mpare hapa,sisi tuna huyo kaka tayari![]()
Sasa maajabu ya Mungu yalivyo,wanyanyusa tumekuja kuwapiga bao.
Mlete mpare hapa,sisi tuna huyo kaka tayari![]()




wacha wee ngoja ntamleta baadae. Hata usijar.😁😁😁😁 naamini kula sio kunenepaNa haunenepi paa wewe
Bora hata yeye amekula.Na haunenepi paa wewe
Wanyaki ni anaza news wewe![]()



mama malezi ujue nimecheka, kumbe nawee mpana iv? LolMlete mleteeewacha wee ngoja ntamleta baadae. Hata usijar.
Kwa hiyo ulikuwa unawachukulia poa tall dark guys wa kwetu? Kaka zetu wapo vizuri weuweee





naamini kula sio kunenepa
Extrovert mpareSasa maajabu ya Mungu yalivyo,wanyanyusa tumekuja kuwapiga bao.
Mlete mpare hapa,sisi tuna huyo kaka tayari😂😂😂😂😂
Bora hata yeye amekula.
Mimi hadi muda huu sijala ,,nilishaanza kupigiwa kelele hapa na maza.
Mnatusema 'mimi na SA.Yes kwa wengine ni kweli kabisa.
Wooooow had kidoti? Jaman watu mbna bahati zenu wallah.



