Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,988
- 177,222
Hahahaaa.....😂😂!huo mkono ni wako ? nyie ndo wanawake mnatupigaga😅
(utani)
Hahahaaa.....😂😂!huo mkono ni wako ? nyie ndo wanawake mnatupigaga😅
(utani)
Sawa! Naona unazidi kujiamini...kwanza nani kakufundisha mambo ya mpira!Vocha ya sh ngapi kwanza ili nisiweke bando kabisa maana uhakika wa vocha upo.
Asenali mnatufungia wapi sisi?
Niache kwanza kidogo leo nawanyoosha hawa nyumbu wa kujiita man uSawa! Naona unazidi kujiamini...kwanza nani kakufundisha mambo ya mpira!





.
.Usije tu kukimbia humu baada ya mechiTunakulaga
Arsenal hainaga ushemeji
Tuliza huo mtima

Kudadek hao madogo wametuotea tu saiv tupo kwenye major transformation..wew na livakuku yako mwaka huu mpaka ikutoe damu ndio utajua huna timu bali ni kikundi Cha vikobaNi wateule pekee watoto wa kiumeni ndio huwa tunaifunga wolves...
Nyumbu fc mlidhani mchezo kucheza na wolves eeeh????!!!!
Hebu kujeni hapa,matokeo yenu tunayoView attachment 2067555
😂😂😂 Wee mtu mzima yanakosajeee !!! Ila Hapo uliposema mtu afanye jambo ndo sijapaelewa haha!
Kukundi cha vicoba kingekupiga goli 5 kwa sifuri?Kudadek hao madogo wametuotea tu saiv tupo kwenye major transformation..wew na livakuku yako mwaka huu mpaka ikutoe damu ndio utajua huna timu bali ni kikundi Cha vikoba




Hahahahaha siendi kwenye ule Uzi wetu najua walevi mtakua mmetapika balaaKukundi cha vicoba kingekupiga goli 5 kwa sifuri?
Sasa nyie chenu sijui tukiite kikundi cha nini??cha nyumbu wana Ngengemkeni mitomingi
Major transformation ya wapi nyumbu zinaporomoka tu na wanakimbia uwanjani hawaelewi hata wanakoenda.
Na bado![]()
Nyumbu wenzio wamepoteana huko moja haikai mbili haikaiHahahahaha siendi kwenye ule Uzi wetu najua walevi mtakua mmetapika balaa


Kwamba hiyo statement imekuwa ngumu kueleweka kweli? Mbona hata mtoto mdogo kabisa Saint Anne ameelewaWee mtu mzima yanakosajeee !!! Ila Hapo ulisema mtu afanye jambo ndo sijapaelewa haha!



Tunatofautiana akili, Seriously Sijaelewa... Naomba mnieleweshe please!Kwamba hiyo statement imekuwa ngumu kueleweka kweli? Mbona hata mtoto mdogo kabisa Saint Anne ameelewa![]()
Hahahah!Kwamba hiyo statement imekuwa ngumu kueleweka kweli? Mbona hata mtoto mdogo kabisa Saint Anne ameelewa![]()










Lakini ukweli utabaki pale pale raph rangnick kocha wetu alimuokota bar jugen klop huko ujerumani bar inaitwa mexim anazagaa zagaa tu ndio akamfundisha ukochaNyumbu wenzio wamepoteana huko moja haikai mbili haikai
Unadhani unyumbu mchezo???
Kama nyie siyo nyumbu basi tufuateni pale juu.
Timu linaporomoka kama waterfallsView attachment 2067792
Hahahah!![]()
Naomba unieleweshe mamy!!Hahahah!![]()
Hatukatai alimfundisha ila sasahivi huyo mzee wenu wa kuwachezesha gengeni sasahivi ni takatakaLakini ukweli utabaki pale pale raph rangnick kocha wetu alimuokota bar jugen klop huko ujerumani bar inaitwa mexim anazagaa zagaa tu ndio akamfundisha ukocha


amerudi yeye jalalani.Kwa kweli hata mimi sijaelewa.Naomba unieleweshe mamy!!