Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,242
- 90,420
Lindo
Happy new year to you too mwenye kipenzi chake!Anko frog happy new year
Hiyo siyo mali yangu.Zigo langu hili hapa👇😁😁😁mkuu,hiyo mali ni yako ? kama ndivyo,shikamoo
Nimefanyaje tena mtumishiDaah yaani wewe![]()

Ukifungwa usikimbie tu, wala kusingizia...ukinifunga utapata vocha!Asenali tunawasubiri Alhamisi tuwanyooshe
Sura muhimu sana na Tako ni huai.. lina akiba ya chakula kwa mama zetu, usilibeze 😁😁😁.. Waburushi wakijua unachochote kitu wana force kingi uoe binti yao. na wakijua huna kitu atapigwa vita sana upoteze kombe 😂😂Igunga ni
Kuna totoz za kiburushi toleo la mwisho
Kama shilole hivi
Sema wamachame wamejazana sana sasa hivi
Biashara ya mpunga na kuuza vidawa vya mifugo na zile baridi
Sura nzuri tako hakuna
Pale kagongwa wanyambo kama wote
Usiku tu panakuwa bien
Mchana utadhani maji yamekatiza pale jangwani![]()
Kijana wa hovyo hovyoAsee karibu na chaka langu Gn'G hotel..![]()
Na ndio naamka hapa viunga vya baharini.. upepo umetulia kabisaaa, wakishua najiandaa nipike kahawa 😂😂😂😂😂 nirudi kulala hadi mchana😂
Ukalale sasa wa kishua
T 1990 ELY salama kabisa,
Mbona mguno tena jamanmmmh
😁😁 Anko frog utakuwa umenifananisha sikuwa mimiHappy new year to you too mwenye kipenzi chake!
Weekend nimekuona ukiwa na kipenzi mkielekea mnadani kula nyama choma huku mkiteta mawili matatu👇😁😁😁
View attachment 2067695
Uliwekakheeeeh kumbe wengi mnasubiri jomoneeeeh

Nakusabahi tuYaani pamoja na Kumfukuza Ole Guna Soksi ila bado wanatandikwa tu tena na timu ndogo kama hiyo![]()


Hapa salama kabisa bossSalama kabisa mkuu
Vipi pande hizo ni salama/kwema mkuu?
Alafu anatokea mhuni mmoja anasema jf hamna warembo!
Vocha ya sh ngapi kwanza ili nisiweke bando kabisa maana uhakika wa vocha upo🤭.Ukifungwa usikimbie tu, wala kusingizia...ukinifunga utapata vocha!
TunakulagaVocha ya sh ngapi kwanza ili nisiweke bando kabisa maana uhakika wa vocha upo.
Asenali mnatufungia wapi sisi?