Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Snap it.Show it😁😁😁
cbW.jpg
 
Kesho jioni nitakuwa singida

Nitalala ama nitaenda kusinzia igunga

Naelekea magharibi huko
Igunga kuna lodge flani kapo center pale jina limenitoka kuna vitoto vya kinywamwezi shida sana, ilikuwaga lazima niweke kituo.. 😂😂😂😂
 
kale ka lodge bwana kana jakuzi.. alafu kapo igunga hiyo.. kulikuwa na mtoto mmoja kama wa mwambao wa plani.. huyo aaaah! kidogo nihamie igunga
Igunga ni

Kuna totoz za kiburushi toleo la mwisho

Kama shilole hivi

Sema wamachame wamejazana sana sasa hivi

Biashara ya mpunga na kuuza vidawa vya mifugo na zile baridi
Sura nzuri tako hakuna

Pale kagongwa wanyambo kama wote

Usiku tu panakuwa bien

Mchana utadhani maji yamekatiza pale jangwani
 
Back
Top Bottom