Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Itakuwa ni hivyohivyo.Hahahaaa Anyways kwa uelewa wangu nadhani nimeelewa tofauti ERoni ila Sina uhakika kama nimeelewa sahihi! Imepita hiyo Fanyeni kuchat na picha

Itakuwa ni hivyohivyo.Hahahaaa Anyways kwa uelewa wangu nadhani nimeelewa tofauti ERoni ila Sina uhakika kama nimeelewa sahihi! Imepita hiyo Fanyeni kuchat na picha

Hivi hakuna sehemu wanauza dawa ya kuongeza urefu mkuuAlafu anatokea mhuni mmoja anasema jf hamna warembo!
Uko poa?
Hivi kuna mwonekano mzuri kama wa ufupi?Hivi hakuna sehemu wanauza dawa ya kuongeza urefu mkuu
Juice ya kienyeji
Mwanangu next time.. ukiwa dar unicheki tupige trip asee.. najua itakuwa bonge la vibe 😂😂😂Kesho jioni nitakuwa singida
Nitalala ama nitaenda kusinzia igunga
Naelekea magharibi huko
Kwakuwa sipendi ufupi naona..inaonekana unapenda andujez😁😁safi👊🏿Hivi kuna mwonekano mzuri kama wa ufupi?
HolidayMorning Sweet bosiiiii! !! Kam kauwaaa still on ....! Naona leo mapema sana bosiii!!View attachment 2067806
Nasikia Wafupi huwa warefu na wakubwa sana sana kuleeHivi kuna mwonekano mzuri kama wa ufupi?

!
Napumzika ipasavyooo!!Holiday
Nakuja mwanza keshokutwa😂😂😂😂😂
Wigelekelo unanichekesha.. tusingiliane mawimbi tu.. ukija mwanza
Safi sana, sasa unapumzika alone jamani.. sio fair 😊😊😊Napumzika ipasavyooo!!
Ndo vizuri kama uko na furahaNiko poa mno yaani na nina furaha sana![]()
Wow😇😇Kesho jioni nitakuwa singida
Nitalala ama nitaenda kusinzia igunga
Naelekea magharibi huko
karibu sana.. mwanza unaweza usirudi tena Dar es Salaam tena....Nakuja mwanza keshokutwa