Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Asenali tunawasubiri Alhamisi tuwanyoosheSis darling....😂
Kaa kwa kutuliaAsenali tunawasubiri Alhamisi tuwanyooshe
Ni kuwanyoosha tu yaaniKaa kwa kutulia
Na upunguze mhaho
Ni wateule pekee watoto wa kiumeni ndio huwa tunaifunga wolves...
Nyumbu fc mlidhani mchezo kucheza na wolves eeeh????!!!!
Hebu kujeni hapa,matokeo yenu tunayoView attachment 2067555




naona uko rohoo kwatuuh sasa.



kheeeeh kumbe wengi mnasubiri jomoneeeeh🤣🤣🤣 kuja kwetu nikupe. Miss u too..Dea zawadi za Rock city naomba.
Nmekumic xan.![]()
Ndio mnaita flat tummy? Hongera 😂
mkuu,hiyo mali ni yako ? kama ndivyo,shikamooSnap it.Show it😁😁😁
View attachment 2067436
Ndio mnaita flat tummy? Hongera
Holiday imeniharibu, shavu shavu, tumbo tumbo![]()




dea yaan ushawahi kuidaka mweeeh. Mwenzio nlikua naumwa dea. ntakuja soon chuga ila weekend.kuja kwetu nikupe. Miss u too..



huo mkono ni wako ? nyie ndo wanawake mnatupigaga😅Hio hapo mwite na Pendael24 View attachment 2067040
Ukuje nikupeleke swimming maana vyombo si hupigi? 😂Mwenzio nlikua naumwa dea. ntakuja soon chuga ila weekend.
Miss u moaah wiii kipenzii.![]()
Huwa unafanya diet nini au mwili wako ?dea yaan ushawahi kuidaka mweeeh.
Poleeeh mwenzio hapo staki kuzidi tena, naomba nipungue niwe mwepesi.
Ni mwili wangu, ila sometimes nafanya diet pale napokua nmezid kdogo.Huwa unafanya diet nini au mwili wako ?
Hapo kwa swimming sasa, mbna mwenzio naogopa sana uwiiiiihUkuje nikupeleke swimming maana vyombo si hupigi?![]()





Ooh okay ,mwili mzuri .Ni mwili wangu, ila sometimes nafanya diet pale napokua nmezid kdogo.