Alayna
JF-Expert Member
- Dec 18, 2021
- 1,010
- 3,554
Happy new year Karma
Happy new year Karma
🙏🙏🙏Happy new year to y'all
Mungu azidi kutubariki wote .
Likewise Alayna!Happy new year
Nimeweka mkuu angalia comment zangu happy new yearNuzulati na ww tupia selfie ya kwako ya kufungia mwaka ,,, happy new year for all jamiiforum members 🎆🎇✨🎊🧨
View attachment 2064490
Nawe pia kipenzi
Woyooooo hatimaye leo umeselfika. Heaven Sent umebaki wewe tu sasa wa kututumia picha walau ya kufungia huu mwaka jamani hebu tuonee huruma wenzio tunaokuomba tangu mwaka juzi.
Shimba Ya Buyenze Mungu akubariki sana rafiki. Yu a gojazi na hata hauendani na ule umri unaotudanganyaga humu ila tu sasa ndiyo nimeelewa kwanini wewe na mayutong ni kama mchaga na mbege.![]()



Na kwako pia daktari. Mungu Akaitumie mikono yako kueneza upendo wake na kipawa cha uponyaji kupitia kwako. Blessings mkuuHappy new year my friend Kijana wa hovyo hovyo
Bro@Extrovert
Kiranja Mkuu mr Mshana Jr
Cha mideko Depal
Mdada mpole Heaven Sent
Mzee wa busara Shimba Ya Buyenze
Rafiki Karma cocastic mawardat mahondaw geraldincredible reymage Tinsley
Mama mchungaji Saint Anne na wengine wengi
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app


insha'Allah AminaNa kwako pia daktari. Mungu Akaitumie mikono yako kueneza upendo wake na kipawa cha uponyaji kupitia kwako. Blessings mkuu
View attachment 2064518

Nimeomba na nimelia sana baada ya kuona wapendwa wetu waliobaki nyuma.Na wote tuseme Amin..

Happy new year my friend Kijana wa hovyo hovyo
Bro Extrovert
Kiranja Mkuu mr Mshana Jr
Cha mideko Depal
Mdada mpole Heaven Sent
Mzee wa busara Shimba Ya Buyenze
Rafiki Karma cocastic mawardat mahondaw geraldincredible reymage Tinsley
Mama mchungaji Saint Anne na wengine wengi
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app

AmeenBaraka za Mungu ziwe pamoja na kila mmoja n wapendwa wenu wote.
Mungu akawalinde wote ,,asiwepo yeyote wa kuishia njiani.
Shukrani nawe pia Mwaka ukawe na baraka tele mpendwaNuzulati mwaka 2022 ukawe wa neema na baraka Tele kwako my friend
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Amin Anne! Tuombeane furaha, upendo, afya njema na amani!Nimeomba na nimelia sana baada ya kuona wapendwa wetu waliobaki nyuma.
Nimeomba kwa uchungu mno,
Mungu ameachilia furaha,,sasa ni zamu yetu..
Hakuna atakayeishia njiani tena..
Maombi haya nayaachilia kwako pia Kaka mkubwa.
Mungu akaipe furaha familia yenu..akaondoe huzuni na kilio na mwaka huu ukawe tofauti kwenu,hakuna atakayabaki njiani tena![]()