Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it



mcinika___wa___lamar~p~CYJl1bKMCle~1.jpg
 
Woyooooo hatimaye leo umeselfika. Heaven Sent umebaki wewe tu sasa wa kututumia picha walau ya kufungia huu mwaka jamani hebu tuonee huruma wenzio tunaokuomba tangu mwaka juzi.

Shimba Ya Buyenze Mungu akubariki sana rafiki. Yu a gojazi na hata hauendani na ule umri unaotudanganyaga humu ila tu sasa ndiyo nimeelewa kwanini wewe na mayutong ni kama mchaga na mbege.

Asante Karma. Unaweza kufafanua kidogo kuhusu hiyo observation yako ya mayutong?
IMG-20211231-WA0133.jpg
 
Na wote tuseme Amin..
Nimeomba na nimelia sana baada ya kuona wapendwa wetu waliobaki nyuma.


Nimeomba kwa uchungu mno,
Mungu ameachilia furaha,,sasa ni zamu yetu..
Hakuna atakayeishia njiani tena..

Maombi haya nayaachilia kwako pia Kaka mkubwa.
Mungu akaipe furaha familia yenu..akaondoe huzuni na kilio na mwaka huu ukawe tofauti kwenu,hakuna atakayabaki njiani tena
 
Nimeomba na nimelia sana baada ya kuona wapendwa wetu waliobaki nyuma.


Nimeomba kwa uchungu mno,
Mungu ameachilia furaha,,sasa ni zamu yetu..
Hakuna atakayeishia njiani tena..

Maombi haya nayaachilia kwako pia Kaka mkubwa.
Mungu akaipe furaha familia yenu..akaondoe huzuni na kilio na mwaka huu ukawe tofauti kwenu,hakuna atakayabaki njiani tena
Amin Anne! Tuombeane furaha, upendo, afya njema na amani!
 
Back
Top Bottom