Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,988
- 177,222
Hahahaaa... Wewe najua tutakua tunaonana!🤣🤣🤣🤣🤣🤣 utaweza ? Utanimis tu jioni ushaselfikaa
Hahahaaa... Wewe najua tutakua tunaonana!🤣🤣🤣🤣🤣🤣 utaweza ? Utanimis tu jioni ushaselfikaa
Mm na huku nakutaka uwepoHahahaaa... Wewe najua tutakua tunaonana!
Mimi ninani hata nibishe. Your order is my command boss! 😜😜🙃🙃!!Mm na huku nakutaka uwepo
😘😘😘😘😘Mimi ninani hata nibishe 😜😜🙃🙃!!
💋💋💋💋🤸 Njagala edagala la cha che chiiii😘😘😘😘😘
Janguuuuu wanoooooo💋💋💋💋🤸 Njagala edagala la cha che chiiii
Nzija fastaaaa ... Namisinga nyo! Untereeeeeee echiboko!!Janguuuuu wanoooooo
Jebaleeeeeee , kati njaaaa ukuchichichichiNzija fastaaaa ... Namisinga nyo! Untereeeeeee echiboko!!
Kaleee jangu kati kati mukwano... Ndiwano nkulinze!! Ekichichichichi nchagala nyoJebaleeeeeee , kati njaaaa ukuchichichichi
Sijawahi kuzinguliwa na mabaunsa wa pale mkuu, in fact ni wanangu. Labda umechanganya mtu mwingine mkuu
Niko Dom Ila Bambalaga sipajui!Mimi ni mvivu kutembea mweeh!!
Naweza kaa maisha yote na nisifike hapo




basi twende chalinze nyama mkuu
Enheee tupe mrejeshoKarma NDC hivi vitoto vizuri vizuri vimetokea wapi... kuna kamoja kana mahaba ya dhati kuna kila dalili nikakesha kukapa company...
nikiwa mkubwa na mie niwe na hela za hivi, nifaidi
View attachment 2057400


Wale mabaunsa hiyo siku nipo na financial services wakamzingua wakasema ni mwanachuoSijawahi kuzinguliwa na mabaunsa wa pale mkuu, in fact ni wanangu. Labda umechanganya mtu mwingine mkuu
Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Daah wenzetu vyakula vyao visafi hadi raha na vimebandikwa stickers kabisa ila huku kwetu sasaMapishi ndo yanaanza sasa. Krismasi ya kwanza bila ugali...Wanyaki wote karibuni ila tu mje na maparachichi pulizi. Vingine vyote mtavikuta
View attachment 2057492View attachment 2057493

