Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 74,209
- 183,053
Sawa vizuri.. uwe na siku njema bosi!!Sinaga hizo tabia , wewe tu na mawazo yako
Sawa vizuri.. uwe na siku njema bosi!!Sinaga hizo tabia , wewe tu na mawazo yako
Na wewe pia ufungue mabox ya kutoshaSawa vizuri.. uwe na siku njema bosi!!
Amezaliwa kweli kweli daddy....Asante sana binti. Nafurahi kusikia kuwa hujambo. Nilikuwa na wasiwasi sana kwa sababu ulipotea ghafla tu bila kuaga. Sikukuu njema sana na mibaraka tele kwako na wapendwa wako wote.
Mwokozi Amezaliwa [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
[emoji23][emoji23][emoji23]Niko Dom Ila Bambalaga sipajui!Mimi ni mvivu kutembea mweeh!!Huu utaratibu wa watu kucheza juu ya meza Bambalaga nimeupenda sana hususan kina dada [emoji2][emoji2]
Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Oyaaa mwamba leo mabaunsa hawajakuzingua??Huu utaratibu wa watu kucheza juu ya meza Bambalaga nimeupenda sana hususan kina dada [emoji2][emoji2]
Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Yeah Kumekucha Vizuri rafiki u hali gani wewe??Kumekucha salama Bosslady…
Hahaha ukiwa mtata ukinywa unanywea[emoji23]Oohh!!thank you honey[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]maombi yamepokolewa mpk mbinguni!![emoji1][emoji1][emoji1]hako ka uvirgin sasaa....!!!
Huyo shosti ako ni kama Mimi nna mashosti wanywaji mpk madompo,ma K Vant ila Mimi sasa,[emoji1][emoji1]soda maji!washasema wamechoka wamenizoea and they r my live wananipenda sana na ubibi wangu wote!
Mimi nawaza sinywi Niko mtata,nikinywa itakuaje!!![emoji1]bora hivi hivi!
🤣🤣🤣🤣🤣Eeh bina[emoji23][emoji23]
Kweli?Kwa kweli sipati picha ndo umejipigilia K-Vant umewaka na huo ubishi dah [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099]
Kwamba we unainunia hio pisi😅 nini mbaya bro?Na wewe pia ufungue mabox ya kutosha
Hahahahahah naanziaa wap nilikuwa namjibu niko njian akahisi namjibu vibayaKwamba we unainunia hio pisi😅 nini mbaya bro?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwamba we unainunia hio pisi[emoji28] nini mbaya bro?
😂😂😂Akikujibu nitag [emoji1787]!!!
Yeah Kumekucha Vizuri rafiki u hali gani wewe??
🙄🙄🙄🙄🙄 🙃🙃🙃😜
Unaona unavofikirisha wengi🙄🙄🙄🙄🙄 🙃🙃🙃😜