Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kafrijj ka mhuni hakana mbwembwe
C360_20211224-170110-31.jpg
 
Eti Ewaaaa! Kazi kusifia wenzio tu we za kwako hutaki kuweka hata moja watu wakakata kiu. Watu wamefanya kila njia mpaka wengine wameapa kuondoka JF jumla ukiselfika lakini wapi. Unavyotufanyia siyo vizuri Mama Mchungaji
Khaa jamani Mtumishi. Wewe relax tu; mimi mwenyewe sura na shape ya ki-wife material kabisa, sina maajabu
 
Asante baba mtumishi wangu
Wacha watu kutoka pande zote waje,kuona jinsi nilivyobarikiwa..Naam Mungu wa Mbinguni alivyonibariki.
Wote waje kushuhudia huu upendo wetu
mzito.
vile mkono wangu wa kushoto nauweka chini ya kichwa chako,,Nao wa kuume ukiwa umekukumbatia.


Mimi ni wako mpenzi wangu,
Nawe ni wangu.

.............
Should I say more my gentleman ?
Wow! that was so so... 😍😍
Mpenzi wangu, wewe u mzuri kama Tirza,
Wapendeza kama Yerusalemu.
Unatisha kama jeshi lenye bendera.
Hebu tazama kando tafadhali,
Ukinitazama nahangaika.
Unaongea taratibu kuonesha kwamba una hekima
Macho yanatua kwenye mboni zako sasa nashindwa kusema 🎅
Happy holidays mtoto mzuri
 
Back
Top Bottom