Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hii thread imenifanya nijue raia za JF zinaonekanaje,atleast inakufanya uone upo mtandao wenye binadamu.

Japo katika ID 10 nilizokua nikidhani ni Pisi kali za kwenda nimeangukiaa PUA na namshukuru Mungu sikuwahigi hata zipaparikia

Sema JF imejaaa wadada wa kawaida munoooo zile sura za kuweka ndani kama (WIFE) ndio zimejazana..

Sura za kutembea kulia bata zinahesabika walahi tena yakupasa uwe na darubini kuzipata pisi kali..

Ila WIFE MATERIAL FACES zimejazana kila angle, Nahitimisha kwa kusema JF ina wife material wengi sana hakiiiii tena.

Gentlemen jiongezeni wadada wa humu wako na sura personal Mno, its safe to marry them let us Work out ktk hili.. Tupambanie hili Guys.

Unachanganyikiwaga na filter za Instagram?
 
20211222_155330.jpg
20211222_155551.jpg
 
tatizo unaweza soma comment ya mtu jukwaa la Urembo kule ukajisemea hii mtoto lazima itakua pisi tu sio kwa namna inajua kuvaa na kupangilia vitu asee..

Njoo selfika ukutane na vidole vyake ndio utajua hujui kufikiria
Kuona vidole tu ni ishara tosha kabisa kujiaminisha wewe kuwa mwenye vidole ana sura ya abdala kichwa wazi?

We jamaa bhana
 
COVID ATTACK LEVELS

Level 1 - Inatibika
Mwili kuchoka
Maumivu ya mwili mzima na viungo
Kichwa kuuma & Kizunguzungu

Level 2 - Inatibika
Kukosa hamu ya kula
Kushindwa kunusa harufu
Homa
Kikohozi
Kukosa pumzi (Kupumua kwa shida)

Level 3 - Hatari na ngumu kutibika
Kifua kubana
Makohozi yenye damu au njano nzito
Kushindwa kupumua (Kukosa hewa - unawekewa oxygen)
Homa kali
Mapafu kujaa maji (Pneumonia)

Kwa Level 1 & Level 2 dawa zifuatazo zimewasaidia wengi:

Azithromycin, Amoxillian&Clavunate Potassium, Junior Aspirin,
Ped zinc,
Vitamin C na
Prednisolne.

Tusisahau:
Tangawizi, Malimao na Kujifukiza. 🧄🧅

Hii ni kutufahamisha sisi kuwa pH ya virusi vya corona inatofautiana kutoka 5.5 hadi 8.5.

Wote tunahitaji kufanya, kupinga virusi vya corona, tunahitaji kuchukua zaidi ya vyakula vya alkali ambavyo viko juu ya kiwango cha juu cha pH cha Virusi.

Ambavyo ni:

Limao- 9.9pH
Chenza- 8.2pH
Parachichi- 15.6pH
Vitunguu - 13.2pH🧄
Maembe - 8.7pH
Tangerine - 8.5pH
Mananasi - 12.7pH
Dandelion - 22.7pH
Chungwa - 9.2pH

Unajuaje kuwa una coronavirus?

Code:
1. Kuwashwa kwenye koo
2. kukauka koo
3. Kikohozi kikavu 
4. Joto kubwa
5. ```kupumua kwa tabu

kwa hivyo unapoona vitu hivi haraka chukua maji ya moto kiasi weka limao kisha kunywa

Usibakie na habari hii peke yako. Sambaza kwa familia yako yote na marafiki. Mungu akubariki.
 
Back
Top Bottom