Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ati??[emoji1787]
Hakuna kitu naogopa duniani kama nyoka aiseee
Hata Mungu mwenyewe aliweka uadui baina ya mwanamke na nyoka.

Nimetoka mbio kwa kwa majirani kuomba msaada[emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23].

Hapa nilikuwa napika maharagwe nje,zoezi limebadilika..nitakaanga tu mayai ndani kwenye gesi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka mbavu suna mie lol.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wangoni bhana[emoji3]

Yaan wenzio wanalala,weye unaamka[emoji3]
giphy.gif
 
Akaunti yako imewatingisha wajukuu zangu mpaka wamenikana yaani. US $14,980 - milioni karibia 35 za Kibongo si mchezo. Tena si ajabu hii ni akaunti yako tu ya matumizi madogo madogo. Ukiwawekea na akaunti ya biashara yenye $15,000,000+ sasa sijui itakuwaje...

Wachukue tu hawa wajukuu bana. Cha muhimu tu uwatunze na kuwaangalia vizuri. Pesa mwanaharamu kabisa!
Angalau leo [emoji38][emoji38][emoji38]
mawardat na rukia16 babu yenu amesurrender!!
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji125][emoji125][emoji125][emoji377][emoji377][emoji377]
 
Wangoni bhana[emoji3]

Yaan wenzio wanalala,weye unaamka[emoji3]
giphy.gif
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] una 9t shift mlongo? Wangoni sahivi wanalala wee utakua una lako jambo.
Iv dagaa nyasa wamepanda bei bado? Iv uko town au Mbinga?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] una 9t shift mlongo? Wangoni sahivi wanalala wee utakua una lako jambo.
Iv dagaa nyasa wamepanda bei bado? Iv uko town au Mbinga?
Mlongo,yaani sijafuatilia dagaa,nipo mbinga na shamra shamra za sikukuu[emoji3]
Sikukuu naenda peramiho nasikia kuna chimbo moja matata[emoji3]
 
Mhhhhhh!! Naijua hiyo?! Inaishia tarehe 27 Dec 2021
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji125][emoji125][emoji125][emoji377][emoji377][emoji377]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]yallah!
 
Mlongo,yaani sijafuatilia dagaa,nipo mbinga na shamra shamra za sikukuu[emoji3]
Sikukuu naenda peramiho nasikia kuna chimbo moja matata[emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hahahahah huko kwa shamra shamra mbna ndo penyewe,
Wee peruu kuna chimbo gan mbna silijui hili ni jipya au?
We sikukuu hii pananoga la charlz na mtini, acha ushamba bas nenda chanta burri bomba 2, [emoji23][emoji23][emoji23]

Mwenyewe hapa nasikilizia ratiba fulan iv ikikaa vyema, bas tar 24 jion ntakua Arusha, tar 27 ntateremka Dom, tar 29 ntaibukia Songea nakula good time had tar 2 jioni nageuza kurud Dar. Ko mwaka mpya tunaweza kuwa ote ukiwa na nafas.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hahahahah huko kwa shamra shamra mbna ndo penyewe,
Wee peruu kuna chimbo gan mbna silijui hili ni jipya au?
We sikukuu hii pananoga la charlz na mtini, acha ushamba bas nenda chanta burri bomba 2, [emoji23][emoji23][emoji23]

Mwenyewe hapa nasikilizia ratiba fulan iv ikikaa vyema, bas tar 24 jion ntakua Arusha, tar 27 ntateremka Dom, tar 29 ntaibukia Songea nakula good time had tar 2 jioni nageuza kurud Dar. Ko mwaka mpya tunaweza kuwa ote ukiwa na nafas.
Wewe,nasikia peramiho kuna chimbo kule[emoji3]
Mwenzio basi hayo machimbo nayajua basi[emoji3]!!!!!

Njoo bana, tuonane
 
Back
Top Bottom