Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wangoni bhana

Yaan wenzio wanalala,weye unaamka
giphy.gif
 
Akaunti yako imewatingisha wajukuu zangu mpaka wamenikana yaani. US $14,980 - milioni karibia 35 za Kibongo si mchezo. Tena si ajabu hii ni akaunti yako tu ya matumizi madogo madogo. Ukiwawekea na akaunti ya biashara yenye $15,000,000+ sasa sijui itakuwaje...

Wachukue tu hawa wajukuu bana. Cha muhimu tu uwatunze na kuwaangalia vizuri. Pesa mwanaharamu kabisa!
Angalau leo
mawardat na rukia16 babu yenu amesurrender!!
 
Mlongo,yaani sijafuatilia dagaa,nipo mbinga na shamra shamra za sikukuu
Sikukuu naenda peramiho nasikia kuna chimbo moja matata
hahahahah huko kwa shamra shamra mbna ndo penyewe,
Wee peruu kuna chimbo gan mbna silijui hili ni jipya au?
We sikukuu hii pananoga la charlz na mtini, acha ushamba bas nenda chanta burri bomba 2,

Mwenyewe hapa nasikilizia ratiba fulan iv ikikaa vyema, bas tar 24 jion ntakua Arusha, tar 27 ntateremka Dom, tar 29 ntaibukia Songea nakula good time had tar 2 jioni nageuza kurud Dar. Ko mwaka mpya tunaweza kuwa ote ukiwa na nafas.
 
hahahahah huko kwa shamra shamra mbna ndo penyewe,
Wee peruu kuna chimbo gan mbna silijui hili ni jipya au?
We sikukuu hii pananoga la charlz na mtini, acha ushamba bas nenda chanta burri bomba 2,

Mwenyewe hapa nasikilizia ratiba fulan iv ikikaa vyema, bas tar 24 jion ntakua Arusha, tar 27 ntateremka Dom, tar 29 ntaibukia Songea nakula good time had tar 2 jioni nageuza kurud Dar. Ko mwaka mpya tunaweza kuwa ote ukiwa na nafas.
Wewe,nasikia peramiho kuna chimbo kule
Mwenzio basi hayo machimbo nayajua basi!!!!!

Njoo bana, tuonane
 
Back
Top Bottom