Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Kila siku unachange avatar
Kuna avatar yangu naitafuta sana.Kila siku unachange avatar
Kuna avatar yangu naitafuta sana.
Kama kuna mtu aliisave jamani anipe.
Iliandikwa "Mungu ni moto ulao" kwa kizungu..halafu inachata chata za moto.
Nikiipata ile nitaacha kutangatanga.
Bado sijazionaMmmmmmh

Mida yako hiiBado sijaziona![]()
Hahahahaha naonaga ndo mida yako hiinaamka hivi
![]()
Utapaliwa
Mbona kama una majonzi
Someone aniletee maji ya kushushia hiki kikohoziUtapaliwa
Jack akuletee au kashachepukaSomeone aniletee maji ya kushushia hiki kikohozi
Sana sana,moyo wa ni kichakaMbona kama una majonzi

Poleee ndo ukubwaSana sana,moyo wa ni kichaka![]()
Poleee ndo ukubwa

Huyo ni my exJack akuletee au kashachepuka
🤣🤣🤣🤣🤣Huyo ni my ex