T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,928
- 30,075
Cake ya birthday mama tunapeleka wapi? Naomba malocation
Sent from my SM-N920C using JamiiForums mobile app




mama malezi Heaven Sent hebu ujibu hapa cake wapi na utoe location.😂😂😂😂😂😂😂Broh naona kitu kimetuna hapo mbele![]()
ValentinaBroh naona kitu kimetuna hapo mbele![]()
Mama wa malezi.... unenikumbusha uscf mlimani miaka hiyo.
No condomHuko mguno hapana kwa kweli,![]()
Hujambo mpendwa wangu/wetuAbee
Nakazia hapa, wapo wengine very smart had unajiuliza ulichelewa wapi kumjua.View attachment 2052513








daahh😬😬😬 mambo yetua watu wa Dar es Salaam.. hatutaki noma sie
Loohh!yaani Mimi huyuu...atakula mikofi ,malezi ya kijunio sinaga Mimi!
Naaam naaam wazeee wa kiepe yai...mambo yetua watu wa Dar es Salaam.. hatutaki noma sie










mwanangu ukimsifia anahamisha mlimamayonaizi, kachumbari na ndimu kwa mbalii 😂😂😂
Njoo uchukue 🙂
Ahsante sana shemeji
Muujiza unaweza tokea leo
Ngoja tuone muujiza kama ule wa maji kuwa damu.

Tena mimi nini tena mkuu?
Na zawadi unapokea?