Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246






yaan nlipoona hiyo memes nkawaza n wee kabisa. Lol


yuko wapi, aje bhana atoe maoni yake.Akija hapa atawavuruga wazazi wa akina Junia,Junia mwenyewe na wote wanaomtetea Junia.yuko wapi, aje bhana atoe maoni yake.


Huyu mimi kabisa yaaniyaan nlipoona hiyo memes nkawaza n wee kabisa. Lol

A wapi kwani nimekuwa mlemavuwee hutaki kunyweshwa juice?

Akija hapa atawavuruga wazazi wa akina Junia,Junia mwenyewe na wote wanaomtetea Junia.
Atawavuruga na kiingereza chake kile![]()







au ndo ule uzi wa kusema alimfinya had junior akawa muoga? Nliusoma hahahSafihebu fanya fanya niwe MC mie.

Ila dar joto limezidi mno, afadhar hata fen ipo, vingnevyo unakufa hiv hiv.Nilihisi nakufa usiku.
Ikabidi nilale chini kwenye tiles![]()




Huyu mwamba akirudi MMU yote inatikisika.au ndo ule uzi wa kusema alimfinya had junior akawa muoga? Nliusoma hahah
Who is dead?View attachment 2052484
Vile vipangaboi havifui dafu.Ila dar joto limezidi mno, afadhar hata fen ipo, vingnevyo unakufa hiv hiv.![]()
Vile vipangaboi havifui dafu.
Angalau ukipuliza kwenye tiles zinapoa na unaweza kulala.
Leo kama hali itakuwa kama jana basi shughuli ni ileile ya kulala chini.



wee utaumwa kichomi cc.Asee issue ya mafua na homa tayari imefika mkoani. Mimi mwenyewe najiskia abnormal.Uncle wangu ananiuliza nna excuse gani ya kutotaka kwenda home for Christmas....sijui nimtumie hii
Naongezea tu I really care about you guys!![]()