Saguda47
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 11,752
- 21,974
Jamani msiwapelekee shida wazee wenu tulieni mjiniWasafiri wa December hao
Pole![]()
Pata Azuma asap!!!
Jamani msiwapelekee shida wazee wenu tulieni mjiniWasafiri wa December hao
Pole![]()
Pata Azuma asap!!!
Happy birthdayOoh you know how much i love you baby sis. Mungu atutunze.
Btw tangu asubuhi nipo location, nikitoka huku una mvua ya mapichaView attachment 2052621
Hahhha so bei ya Petrol haitakiwi kushuka kabisa eeh? Thanks dearest Vale
yenyewe inaongezekaga tuBroh naona kitu kimetuna hapo mbeleJioni kama hivi.. mambo yetu wanaume wa Dar es Salaam.. View attachment 2052639View attachment 2052640


Vichomi tayari ninavyo ila kwa hili joto acha vinishike tu hakuna namna.






🙄🙄🙄😳😳😳😳😳 NomaBroh naona kitu kimetuna hapo mbele![]()
Hao ndege wanaitwaje? Au ni ndege mwarabuHii picha niliizoom sana kupiga hao ndege watatu, mmoja ni kunguru. Nilivutiwa na hao ndege hasa ubishi wa kunguru wa kutaka kugombania chakula na huyo ndege mkubwa kiumbo.
Funzo: usijione mnyonge pigania haki yako hata mbele ya wenye nguvu.View attachment 2052638
Leo umeamuaOoh you know how much i love you baby sis. Mungu atutunze.
Btw tangu asubuhi nipo location, nikitoka huku una mvua ya mapichaView attachment 2052621



Hahah mzee wa daslam.....Jioni kama hivi.. mambo yetu wanaume wa Dar es Salaam.. View attachment 2052639View attachment 2052640
Yeahh!
Cake ya birthday mama tunapeleka wapi? Naomba malocationLeo umeamua![]()
Hayo mandege mara ya mwisho niliyaona urambo....Yeahh!
Poleni saaanaAsee issue ya mafua na homa tayari imefika mkoani. Mimi mwenyewe najiskia abnormal.