cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,172
Huyu mwamba akirudi MMU yote inatikisika.
Hope atarudi hivi karibuni.





na arudi tyuuh kwa kweli.Huyu mwamba akirudi MMU yote inatikisika.
Hope atarudi hivi karibuni.





na arudi tyuuh kwa kweli.Vichomi tayari ninavyo ila kwa hili joto acha vinishike tu hakuna namna.wee utaumwa kichomi cc.
Lizarazu popote ulipo nimekumiss mno aiseee.na arudi tyuuh kwa kweli.
Bixente Lizarazu ..... jina limenikumbusha miaka hiyo nikiwa kijana barubaru nashabikia mpira.Lizarazu popote ulipo nimekumiss mno aiseee.
Duhh! Mzee unajua, unaweza, na una mbinu za kula![]()





, haipingwiIko wazi mzee

Happy birthday dear HS, furaha yako izidi kuongezeka kama bei ya petroli


Ooh you know how much i love you baby sis. Mungu atutunze.Happy birthday to our beautiful Sister Heaven Sent
Hivi ulishawahi kumpenda mtu halafu ukakosa namna nzuri ya kuandika na kumwambia???
Nashindwa hata niandike nini,,,ila Mungu na akutunze![]()




Ooh you know how much i love you baby sis. Mungu atutunze.
Btw tangu asubuhi nipo location, nikitoka huku una mvua ya mapichaView attachment 2052621













Mmmmmmmmh
Na zawadi unapokea mpendwa?Amen. Thanks much ELY
Yeahh...seems like a nice place!Morogoro,place ninayokula nikiwa Moro, wana very nice food
Na zawadi unapokea mpendwa?
Hovyo tu
Muujiza unaweza tokea leoHovyo tu











Wasafiri wa December hao 😏😏Asee issue ya mafua na homa tayari imefika mkoani. Mimi mwenyewe najiskia abnormal.