cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,102
- 181,132
Usiku huu wee hulali?Saturday flan hv
flash back flan hv
taratibuu vijana wazaman tunaenjoy
Grooveback na peter mo
hii ndo raha ya disemba




hahahaha nalinda watu na mali zao,niko lindoUsiku huu wee hulali?![]()
Nenda kwenye uzi wa aliyekuwa anajaribu kuruka kwenye daladala,akadondoka.Uzi gani?
Siku hizi kumaliza degree ni bahati nasibu.Afu unajua ndo huwa nashangaa hapo, maan nna watu wanasoma pale degree, yaan wanavo supp na ku carry, nkawa nawauliua vipi wanasema wee pale pagumu mno,
Sasa huku kwenye Doctorates wanagawa tyuuh au kisa viongozi.![]()


huko kwenye PhDhapo sasa ntakua nafaulu tyuuh, unamuambia akupe maswali afu unanipa mie nasolve kabisa.
Usinikumbushe kuna lect m1 alinikimibiza mchaka mchaka toka city center had class, kuwahi quiz lol.![]()



Karibu mkuuTena nakuja PM kuulizia kuhusu hizi tradable financial asset mkuu hasa crypto....
Tunajifurahisha tu lakini kiuhalisia haya mambo hayana fomyula...japo yanaweza kujengewa assumptions na majumuisho ya jumla...

hua vina kazi gani?Tumezifata ziliko
Tabata mzae! 40/40Wapi chief?
Jukwaa gani hilo?Nenda kwenye uzi wa aliyekuwa anajaribu kuruka kwenye daladala,akadondoka.
Utacheka uzimie.
Yupps!!!!!!☺☺Na huyu mkubwa n mwanao? Km n mwanao hongera mwenyeji, sio kwa kujitunza ivo, upo km binti wa 4m 5 Iringa Girls, kumbe mama wa familia daaah.![]()
Done focusing...Focus man focccuuuuusssssss!!!![]()

Jukwaa gani hilo?