donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,258
- 22,130
Mi nilijua security ni tradable financial asset mkuu
Mi nilijua security ni tradable financial asset mkuu
Wengi wanakiandama Udom kwa sababu hawakipendi ila hizi PhD Udom siyo ya kwanza kuanza kuwagawia watu![]()





UDOM kinapendwa bhana, huoni viongozi ndo wanakimbilia huko kuchukua doctorates, hahahahTutafute hela na sisi tukachukue aisee.
Akina Biteko sasahivi nimadaktari
Wanajamiiforum walivyowakalia kooni sasa![]()







hahahahaHata mimi sizijui nazisikiaga tu mkuu, JF kila mtu ni tajiri na ni masikini kulingana na mazingira na mada husika.
Mechi bado imechanganya huko




cc bhana wenzio wanatazama movie akati. Mda wote huu wagundue nn sasa?Shoba heluwa wagidiNani ako TNT aje anikunywe bia??
View attachment 2049168
Hanijui bhana cc, couz hajawahi ona face angu.Hakujui??
Subiri uone



Ni ujinga sana kama kweli wamewapa watu PhD za bureUDOM kinapendwa bhana, huoni viongozi ndo wanakimbilia huko kuchukua doctorates, hahahah
Yaani hao akina Biteko watakuwa wanatamani hata wakazirudishe hizo PhD walizopewa.




Na huyu mkubwa n mwanao? Km n mwanao hongera mwenyeji, sio kwa kujitunza ivo, upo km binti wa 4m 5 Iringa Girls, kumbe mama wa familia daaah.



Bora Hata huko, UDSM jaman lects wana roho mbaya sana, wananyima mno marks, yaan ili sijui iweje, kuna lect kaniudh UE somo fulan iv kaninyima marks, kaishia kunipa B- akat nlijua ntatoka na A, yaan hata B+ kunipa kaona jau mweeeehNi ujinga sana kama kweli wamewapa watu PhD za bure




Tena nakuja PM kuulizia kuhusu hizi tradable financial asset mkuu hasa crypto....Mi nilijua security ni tradable financial asset mkuu
Hata ukienda kule undergraduate ndo hivyohivyo hakuna marks za bureBora Hata huko, UDSM jaman lects wana roho mbaya sana, wananyima mno marks, yaan ili sijui iweje, kuna lect kaniudh UE somo fulan iv kaninyima marks, kaishia kunipa B- akat nlijua ntatoka na A, yaan hata B+ kunipa kaona jau mweeeeh
Ndo maan hata hao viongozi wanaenda huko UDOM kwenye unafuu.




Ngoja nimjaze upepo j3 aje na quizHanijui bhana cc, couz hajawahi ona face angu.
Usinitishe hapa, ikawa nshachomeshwa mda wee.

Hapo nimezoom camera sana, Siku ukiniona utastaajabu![]()
basi wacha nikuaminiHawana mapumziko haocc bhana wenzio wanatazama movie akati. Mda wote huu wagundue nn sasa?

Uzi gani?JF raha sana mi mwenyewe leo kuna uzi nimesoma nimecheka comments za watu hadi machozi![]()
Afu unajua ndo huwa nashangaa hapo, maan nna watu wanasoma pale degree, yaan wanavo supp na ku carry, nkawa nawauliua vipi wanasema wee pale pagumu mno,Hata ukienda kule undergraduate ndo hivyohivyo hakuna marks za bure
Labda huko kwenye PhD








Ngoja nimjaze upepo j3 aje na quiz![]()





hapo sasa ntakua nafaulu tyuuh, unamuambia akupe maswali afu unanipa mie nasolve kabisa. 

