Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ni ujinga sana kama kweli wamewapa watu PhD za bure
Bora Hata huko, UDSM jaman lects wana roho mbaya sana, wananyima mno marks, yaan ili sijui iweje, kuna lect kaniudh UE somo fulan iv kaninyima marks, kaishia kunipa B- akat nlijua ntatoka na A, yaan hata B+ kunipa kaona jau mweeeeh

Ndo maan hata hao viongozi wanaenda huko UDOM kwenye unafuu.
 
Bora Hata huko, UDSM jaman lects wana roho mbaya sana, wananyima mno marks, yaan ili sijui iweje, kuna lect kaniudh UE somo fulan iv kaninyima marks, kaishia kunipa B- akat nlijua ntatoka na A, yaan hata B+ kunipa kaona jau mweeeeh

Ndo maan hata hao viongozi wanaenda huko UDOM kwenye unafuu.
Hata ukienda kule undergraduate ndo hivyohivyo hakuna marks za bure

Labda huko kwenye PhD wanazogawa bure
 
Hata ukienda kule undergraduate ndo hivyohivyo hakuna marks za bure

Labda huko kwenye PhD
Afu unajua ndo huwa nashangaa hapo, maan nna watu wanasoma pale degree, yaan wanavo supp na ku carry, nkawa nawauliua vipi wanasema wee pale pagumu mno,

Sasa huku kwenye Doctorates wanagawa tyuuh au kisa viongozi.
 
Back
Top Bottom