Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,499
- 235,200
Unapoteaje hewani na ulimuona tangu jana anakuja MbeyaDah nmezingua kinyama sikua online bwana sijui atakua wapi Mimi nipo uyole
Unapoteaje hewani na ulimuona tangu jana anakuja MbeyaDah nmezingua kinyama sikua online bwana sijui atakua wapi Mimi nipo uyole
Highland[emoji91] si bdo upo upo mbeya? Leo mida flani sikua online
Mechi bado imechanganya huko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] halafu haamna wenzio ni style tyuuh ndo zina matter, yaan full kugalagazana.
Hakujui??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jaman usinambie kuhusu hicho kitu, naogopa sup zaidi ya chochote. Hawezi bhana couz hanijui.
Tupige vyombo vya fanta passion[emoji109]View attachment 2049092
Ukiwa ugenini machaguo ya chakula yanapungua, unakula kinachopatikana.
Makange[emoji39] [emoji39]
Mimi jana nilikosa usingizi,nimezurula humu hadi alfajiri usingizi ukanichukua.JF raha sana mi mwenyewe leo kuna uzi nimesoma nimecheka comments za watu hadi machozi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama bdo yupo yupo mby hamna kilichoharibika mimi nipo mpaka January 5Unapoteaje hewani na ulimuona tangu jana anakuja Mbeya
Kwa ukarimu mlionionyesha naondoka zangu kesho asubuhi 😏😏Highland[emoji91] si bdo upo upo mbeya? Leo mida flani sikua online
Uko dunia ipi [emoji3]
Uko dunia ipi [emoji3]
Imekuaje Tena mbona kama Kuna mtu katuharbia sifa ya jiji letuKwa ukarimu mlionionyesha naondoka zangu kesho asubuhi [emoji57][emoji57]
Hawa watu ukiona unawaelewa ujue unakarbia kufa mkuu hawaeleweki[emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji2221][emoji2221][emoji2221][emoji2221]
View attachment 2049133View attachment 2049134View attachment 2049135View attachment 2049136View attachment 2049139View attachment 2049142
Ukibahatisha mnayeelewana wanaeleweka kirahisi sana mkuu [emoji16]Hawa watu ukiona unawaelewa ujue unakarbia kufa mkuu hawaeleweki
Basi na mimi nimuombe mungu nibahatikeUkibahatisha mnayeelewana wanaeleweka kirahisi sana mkuu [emoji16]