Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Unapoteaje hewani na ulimuona tangu jana anakuja MbeyaDah nmezingua kinyama sikua online bwana sijui atakua wapi Mimi nipo uyole
Unapoteaje hewani na ulimuona tangu jana anakuja MbeyaDah nmezingua kinyama sikua online bwana sijui atakua wapi Mimi nipo uyole
Highland
si bdo upo upo mbeya? Leo mida flani sikua onlineMechi bado imechanganya hukohalafu haamna wenzio ni style tyuuh ndo zina matter, yaan full kugalagazana.
Hakujui??jaman usinambie kuhusu hicho kitu, naogopa sup zaidi ya chochote. Hawezi bhana couz hanijui.
Tupige vyombo vya fanta passionView attachment 2049092
Ukiwa ugenini machaguo ya chakula yanapungua, unakula kinachopatikana.
Makange![]()
![]()


Mimi jana nilikosa usingizi,nimezurula humu hadi alfajiri usingizi ukanichukua.JF raha sana mi mwenyewe leo kuna uzi nimesoma nimecheka comments za watu hadi machozi![]()
Kama bdo yupo yupo mby hamna kilichoharibika mimi nipo mpaka January 5Unapoteaje hewani na ulimuona tangu jana anakuja Mbeya
Kwa ukarimu mlionionyesha naondoka zangu kesho asubuhi 😏😏Highlandsi bdo upo upo mbeya? Leo mida flani sikua online
Uko dunia ipi

Uko dunia ipi![]()
Imekuaje Tena mbona kama Kuna mtu katuharbia sifa ya jiji letuKwa ukarimu mlionionyesha naondoka zangu kesho asubuhi![]()
Hawa watu ukiona unawaelewa ujue unakarbia kufa mkuu hawaeleweki
Ukibahatisha mnayeelewana wanaeleweka kirahisi sana mkuuHawa watu ukiona unawaelewa ujue unakarbia kufa mkuu hawaeleweki

Basi na mimi nimuombe mungu nibahatikeUkibahatisha mnayeelewana wanaeleweka kirahisi sana mkuu![]()