Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Ngoja akulime sup ndio utaelewakidogo tyuuh.
Ngoja akulime sup ndio utaelewakidogo tyuuh.
Hiyo mechi nadhani ningekata pumzi aisee.Saiv si ungekua wee apo ndo unatuliza ball
Iv ulikwama wapi cc?
Oohh sema kwa Aura Mall huwa wanaonesha in 2D na Dar Free Market pia huwa wanaonesha in 2D. Mlimani City mara nyingi kama siyo zote huwa wanaonesha in 3D.Muvi nilizowahi kuangalia cinema zote niliangalia kwenye mfumo wa 2D hapa kulikua na upande wanaonyesha kwa 2D pia sema wanaanza usiku. So mimi nikazama kwenye 3D kwakua inaanza saa 10. Haka kamiwani nitakatunza mwezi may panapo majaaliwa nitakatumia kwenye Doctor Strange
Hatari sana wabongo tuna safari ndefu sanaKabisa, lazima niende sawa na Musukuma. Na taarifa za Chini chini hata Kibajaji naye anakaribia kutunukiwa PhD, kwahiyo nitabaki Mimi tu ndiyo sina![]()


Jana usiku nimecheka sana nilivyosoma comments za watu juu ya wasomi wetu waliotunukiwa PhD zao pale Chimwaga.Hatari sana wabongo tuna safari ndefu sana![]()
Hapo nimezoom camera sana, Siku ukiniona utastaajabu 😜Chibonge![]()
Sana yaani, shida yote hiyo ni kuvizia teuzi ili kama vetting hautafanyika vya kutosha jamaa wajichanganye PhD ya kusoma class miaka 4-6 na PhD ya Mchongo manake wote wataitwa Dr. 😀Hatari sana wabongo tuna safari ndefu sana![]()
hahahaha wa kishua mambo ya 3D. sie wa vibanda umiza kwa lufufu .tunapita hvOohh sema kwa vile wewe umeenda Aura Mall huko huwa wanaonesha in 2D na Dar Free Market pia huwa wanaonesha in 2D. Tuliozoea Mlimani City kwenye ile the biggest screen in east africa mara nyingi kama siyo zote huwa wanaonesha in 3D.
JF raha sana mi mwenyewe leo kuna uzi nimesoma nimecheka comments za watu hadi machoziJana usiku nimecheka sana nilivyosoma comments za watu juu ya wasomi wetu waliotunukiwa PhD zao pale Chimwaga.
Almanusura nizimie.




Aahh viongozi wetu wanatia aibu sana yaani bongo sifa ya kuwa kiongozi ni uwe vizuri kwenye ndumba hayo mengine unajisumbua bureSana yaani, shida yote hiyo ni kuvizia teuzi ili kama vetting hautafanyika vya kutosha jamaa wajichanganye PhD ya kusoma class miaka 4-6 na PhD ya Mchongo manake wote wataitwa Dr.![]()




Ngoja akulime sup ndio utaelewa



jaman usinambie kuhusu hicho kitu, naogopa sup zaidi ya chochote. Hawezi bhana couz hanijui.Hata mimi sizijui nazisikiaga tu mkuu, JF kila mtu ni tajiri na ni masikini kulingana na mazingira na mada husika.hahahaha wa kishua mambo ya 3D. sie wa vibanda umiza kwa lufufu .tunapita hv
Hiyo mechi nadhani ningekata pumzi aisee.
Ni kali mno.






halafu haamna wenzio ni style tyuuh ndo zina matter, yaan full kugalagazana.Dah nmezingua kinyama sikua online bwana sijui atakua wapi Mimi nipo uyole
Jana usiku nimecheka sana nilivyosoma comments za watu juu ya wasomi wetu waliotunukiwa PhD zao pale Chimwaga.
Almanusura nizimie.









UDOM hoyeeeeh.Wengi wanakiandama Udom kwa sababu hawakipendi ila hizi PhD Udom siyo ya kwanza kuanza kuwagawia watuUDOM hoyeeeeh.

Watu wanagawana tu PhD Kama togwa ya ngomaniWengi wanakiandama Udom kwa sababu hawakipendi ila hizi PhD Udom siyo ya kwanza kuanza kuwagawia watu![]()
Tutafute hela na sisi tukachukue aisee.Watu wanagawana tu PhD Kama togwa ya ngomani













