Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kinyakyusa ni kimoja mkuu wanyakyusa wote tunaelewana. Na lugha yetu inaingiliana baadhi ya maneno na Kindali.

Sisi siyo kama wachaga. Kwamba eti mmarangu haelewani lugha na mmachame no sisi wote tunaelewana 100 percent.

Waambie Saint Anne na geraldincredible wakufundishe. Mimi bado sijakimaster vizuri kuna baadhi ya misamiati siijui.
Saint Anne alifanya hadi nikanunua daftari ili aanze kunifundisha hiko Kinyaki lakini over suddenly akasema eti Ada ya Udahili imepanda 🙆🙆

Bora tu unifundishe wewe hata kama kitakuwa cha kuombea Maji kitanifaa tu 😂
 
Tutangazie tu mama maana wanaudharau sana mkoa wetu eti kisa ghorofa lenye elevators liko moja tu wakati sasa hivi yako mawili. Mbeya yenyewe tu ilivyo geographically ni elevated region hivyo haupendezi kuwa na majengo marefu sana.
Ongezeni basi hata nyingine ya tatu 😁😁

On a serious note though....ni pazuri kuliko nilivyotarajia!
 
IMG_2313.jpg
 
Mie nilicheka tu hii caption
Eti ongea na watu vizuri huko mtaani View attachment 2048719
yaan basi memes zinavyozagaa huko mitandaon had Co poaa, tatzo hizo gwanda zenu mkivaa mnatisha bhana,
Mtoto wa kaka akimuonaga cc (shangazi yake) amevaa hata boots tyuuh, atatimua mbio huyo km ameona kitu cha ajabu.
 
Back
Top Bottom