Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,552
I am single again damnnnnnn!..any single lady out there? Lets mingleKwa raha zako yani

I am single again damnnnnnn!..any single lady out there? Lets mingleKwa raha zako yani

Ila this time utulizane na utakaempata jamaniSo now, i am single ready to mingle!![]()

Afu babuuu mbna mchakato enyewe unachelewa, muda ndo huu eti?Baadae tukiwa kwenye ule mchakato wetu mjukuu




Nitatulia my ex...nutafutie basi wakumuachia kijitiIla this time utulizane na utakaempata jamani![]()
Woii tafuta mwenyewe banaNitatulia my ex...nutafutie basi wakumuachia kijiti
Khaaaa sawa my exWoii tafuta mwenyewe bana
Aah haya basi kama usiponiamini kwenye hili..![]()



ngoja nkuitie member aje akupinge, nione utamjibu vipi,Mie tena upole ndo kwangu, na nakuamini babuuh yangu kipendhii,Kuwa mpole
Umeshaweka?Inakuja
Ongezeni basi hata nyingine ya tatu
On a serious note though....ni pazuri kuliko nilivyotarajia!
Au tukutafutie na mke wa pili wa kinyaki?Okay, ila akiongea Mnyaki wa Kyela na wa Rungwe anaelewa?
Nitaomba unipe training ya Lugha yenu, nimejikuta naipenda hasa lafudhi. Ughonile, Ndagha Kyala![]()
NdiyoUmeshaweka?
NaisubiriNdiyo
Nshatuma mbonaNaisubiri