Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,485
Yes. Mwana mbezi beach secondary alumnYaan kumbe hata hatishi kivilee, ni gwanda na hayo mafuta meusi aliyopaka usoni. Ndo tabu enyewe![]()
Mmoja wa wanaharakati wa Kweli nchini TanzaniaHappy birthday Shangazi Maria Sarungi, kiukweli umekua mwanamke wa mfano sana katika uwanja wa Kupigania haki, historia itakukumbuka.View attachment 2048652


Ohhhh..... kumbe.Nishatoka huko kitambo!
Mie nilicheka tu hii captionNi yeye Obadia mwasebwa (obby).
Kumbe kijana wa watu yuko safi kwa matumizi ya binadamu na anashawishi.
Sasa sijui hapo alipaka mafuta ya bunduki au oil lol.View attachment 2048656View attachment 2048657



Utasema babu na mjukuuu
Aiseeeee!!Ni yeye Obadia mwasebwa (obby).
Kumbe kijana wa watu yuko safi kwa matumizi ya binadamu na anashawishi.
Sasa sijui hapo alipaka mafuta ya bunduki au oil lol.View attachment 2048656View attachment 2048657
Oh sasa nimeelewaYaan kumbe hata hatishi kivilee, ni gwanda na hayo mafuta meusi aliyopaka usoni. Ndo tabu enyewe![]()

Deaumejua kunoga.
Mrembooo!!
Peeza wewe
Zinaanza saa ngapi

