cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,169
Yaan babuuuh wee unakula uroda iv afu mie napiga mihayo tyuuh hapa, sio vizuri ujue?



Thanks much mwenyeji,Happiest birthday to you![]()




Mbeya kumbe kuzuri iv? Weee
Yaan nkiona hivyo mikono inawasha,Leo twatoka nje ya Mji kidogoView attachment 2048333



Kwanza nimeona usiku sana pale Anne anaandika zile shairi za kizungu!
Sent using Jamii Forums mobile app




muandiko wake natamani awe anaandika mda wote.Ewaaaaaaaaah mlongo pena ndi ujovi chabwina chene, nikumshukuru nnungu kwa kunivika hadi lelu naha,Happybelated bday Cocastic Mungu akupe kila la kheri,uwe mtu wa Mungu ,uwe na hofu na Mungu na uje kua na kizazi chenye manufaa ktk maisha yako...!!!akupeshe na Shari za wanadamu,hasadi na chuki na akuondeshee kijicho...Mungu akuongoze kwenye kila lenye heri na wewe wa kunyumba!
Nakupenda
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante japo mpaka sasa hivi siwaoni mkijitolea kunitembeza 😏😏Karibu sana mgeni.







Asante mwaya!!!Nakiona kijani kibichi
Kweli umefika Mbeya.
Pole sana kwa uchovu wa safari na hongereni kwa kufika salama.
Kama ya kule kwenu ChugaAsante mwaya!!!
Pazuri kweliNa hali ya hewa ni ile naipendaga!
![]()

Ni jiji lililobarikiwa na MunguMbeya kumbe kuzuri iv? Weee

Sidhani kama huku kwa kina Saint Anne & Heaven Sent kuna birian 😏 Ngoja lunch time ifike tuone.Thanks much mwenyeji,
Hebu nibariki kwa picha ya biriani safiiiih. Nipate pona.
HahahWakubwa wanafaidi sana
Hopefully na mimi nikiwa mkubwa nitafaidi