Ngoja nimkumbushe kuwa hata Mfalme Suleimani alikuwa na wake 300 na Michepuko 700 lakini wake zake hawakumwacha hata baada ya kujua, Kwanini Yeye ameshindwa kujifunza?
Fanya leo ukiweza mmbembeleze kwa kumuimbia mashairi ya Wimbo Ulio Bora, naamini atakurudia tu π