Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Tatizo mimi nachelewa kukata ticket.Mimi ni seat za mbele tu yaani kusiwe na seat yoyote mbele yangu labda iwe nyuma ya dereva. Tofauti na hapo sikati nasogeza safari mbele.
Tatizo mimi nachelewa kukata ticket.Mimi ni seat za mbele tu yaani kusiwe na seat yoyote mbele yangu labda iwe nyuma ya dereva. Tofauti na hapo sikati nasogeza safari mbele.
Mbeya Tunduma ameachia bus mpya nzuri sana.Mmhh hizo mpya kuna zinazoenda Mbeya kweli? Maana yule naye kakomaa na Morogoro yake humuambii kitu!
Gari ambalo siji kupanda ni Happy Nation.Dar Lux nilipanda mara moja tu nikasema sirudii tena. Siku niliyopanda na kufika Dar saa sita za usiku nikasema mwanzo na mwisho.
Rungwe nao nilipanda siku moja tukafika Mbeya saa nne na mji kama Mbeya saa nne tayari maduka mengi yamefungwa watu wamelala. Nikasema sirudii tena.
😄😄😄😄😄Mimi Mwenyewe nimepewa lift hapa![]()
hahahaha.safi ,lunch time uko wapi? Niko hapa toroka uje block 41 karibu rafikiYeah sema Nilitoka mwezi wa 11.. saivi tunatuma ya sikukuu tu!!
Dah!!!!!!! Kumekucha..Selfika na Airtel ya buku X2. View attachment 2047350
hahaha toa mfano rafiki chibongeChat na picha
Mzee wetu kwema?hahaha toa mfano rafiki chibonge
Kwa Kizulu "Ungani Bambi" maana yake ni Saidia wengine.Zanzibar kuna eneo linaitwa bambi na Turkey Turkey niliona duka linaitwa Bambi
Mungu anakuona na kejeli zako G!!!