Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,238
- 90,416
acha basi ,rafiki
acha basi ,rafiki
Ndio habaru ya mjini siku hizi.Unakufaje kirahisi hivyo![]()
mie nipo hapa.naona wanyaki wa jf leo wako busy na mabus yaoSawa rafiki utanistua mida!
God forbid!!!!!Ndio habaru ya mjini siku hizi.
Mtu unakata moto kirahisii.
Awapitie wapi hamna kitu.Hahaa au usikute alienda kuwapita wote mbele ya safari na akawahi kufika kama kawaida yake![]()
Mukwanooo gwoooo......
Huko sijuial saedy. Yupo kilombero.kilosa pia eeh
Hahahaaa... Sikukuu na likizo rafiki!!!mie nipo hapa.naona wanyaki wa jf leo wako busy na mabus yao
Hii nimeiwahi mkuu
Magari yangu pendwa ya Dodoma ni Shabiby ,Kimbinyiko na ABC upper class.Haha hajapanda la dom huyu![]()

Unlavye mukwano!!!Mukwanooo gwoooo......
al saedy. Yupo kilombero.kilosa pia eeh
Dar lux sijaliona siku hizi.Hivi Dar Lux na Rungwe yapo jamani? Enzi zile Rungwe bado inatamba, ukoo mzima wanyaki tunapanda Rungwe, ole wako ukapande bus lingine. Kuna siku karibu na Kitonga ile; sijui bus lilitaka liwake moto. Maana ilianza harufu kali ndani kama ya chemicals; ukaja moshi mzito ndani; daah kumbe nipo mwepesi vile kwenye kuruka dirishani hehehe; maisha matamu jamani mweeh.
🤣🤣🤣🤣!! Nawe Selfika basi rafiki au wewe selfie yako ni vocha 🤣🤣🙏!!Hii nimeiwahi mkuu
Kuna ile umeweka subuhi nimeambulia manyoya😅
Ngoja nitafute mtu anipige picha, simu yangu haina camera ya mbele😅🤣🤣🤣🤣!! Nawe Selfika basi rafiki au wewe selfie yako ni vocha 🤣🤣🙏!!
wametisha asee,jf ina warembo wa kinyaki wa kutoshaHahahaaa... Sikukuu na likizo rafiki!!!
Rafiki acha utani selfika buana!!Ngoja nitafute mtu anipige picha, simu yangu haina camera ya mbele😅
Sanaaaa!!wametisha asee,jf ina warembo wa kinyaki wa kutosha
Sure yaani mie imefikia kipindi nikipanda basi lenye makonda wachache na hawana story huwa naona safari mbaya. Mfano Shabiby za Dom yaani jamaa wako serious kichizi hamna story wala nini halafu konda unakuta mmoja au wawili tu.hahaha we unanizuga nimeona juu hapo unayajua vzr tu.unakaa na makondakta kupiga story dah. Sisi wa kasumbalesa.mokambo tutadandia malori