Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,485
Kwa kweli voda hatuhami acha watuue tu10+ years ninatumia Voda pekee; nina mahaba nayo kupitiliza na wananikosha na speed yao. Japo vifurushi vinaninyoosha ila ndiyo nishaipenda sasa, napambana na hali yangu.
Dada kasema mmetisha sana



