Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Na wewe unaenda mkoani? Na umepata Siti ya mbele?
Af uzi umekua wakiwaki sana huku mbele. Unapata comments mia naa, hakuna picha hata moja watu wanapiga story tuu..

Haya chukueni hizoo me naenda field.
20211215_171902.jpg
View attachment 2047389
 
Hivi Dar Lux na Rungwe yapo jamani? Enzi zile Rungwe bado inatamba, ukoo mzima wanyaki tunapanda Rungwe, ole wako ukapande bus lingine. Kuna siku karibu na Kitonga ile; sijui bus lilitaka liwake moto. Maana ilianza harufu kali ndani kama ya chemicals; ukaja moshi mzito ndani; daah kumbe nipo mwepesi vile kwenye kuruka dirishani hehehe; maisha matamu jamani mweeh.
Dar Lux nilipanda mara moja tu nikasema sirudii tena. Siku niliyopanda na kufika Dar saa sita za usiku nikasema mwanzo na mwisho.

Rungwe nao nilipanda siku moja tukafika Mbeya saa nne na mji kama Mbeya saa nne tayari maduka mengi yamefungwa watu wamelala. Nikasema sirudii tena.
 
Dooh kumbe nawe mtata. Dada yangu aliwahi gombana na New Force kuhusu suala la mizigo miaka hiyo wakati inahit basi tangu alivyogombana nao akawa anawasagia kunguni tu.
Wajinga sana wale.


Yaani eti ananitishia kushusha eti nipande nao kwenye seat nikamwambia wewe shusha mimi naenda kuuweka katikati ya gari na tukifika kwa traffic namuita namwambia umekataa kunipakilia kwenye buti.
Ile tumeshuka tu mbezi anawaambia wenzie huyo dada namdai
Nilibishana naye mjinga yule,,Abiria wakaanza kumfokea anawachelewesha..

Hela yangu sitoi kizembe.
 
Wajinga sana wale.


Yaani eti ananitishia kushusha eti nipande nao kwenye seat nikamwambia wewe shusha mimi naenda kuuweka katikati ya gari na tukifika kwa traffic namuita namwambia umekataa kunipakilia kwenye buti.
Ile tumeshuka tu anawaambia wenzie huyo dada namdai
Nilibishana naye mjinga yule,,Abiria wakaanza kumfokea anawachelewesha..

Hela yangu sitoi kizembe.
Damu yetu hii kwa ubishi tuko vizuri
 
Watu wapo safarini,si unaona wanavyopiga Stori za mabasi? wakifika watapiga picha mkuu

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Ukiwa safarini camera inakua haifanyi kazi?
Heshima kwa wanaotukumbusha. Kuna huyu Lizzy anatukumbusha sana. Sio mbaya kupiga story ila maudhui ya uzi, sindikiza na kapicha kidogo.
20211215_160315.jpg
 
Damu yetu hii kwa ubishi tuko vizuri
Ile asubuhi tunabishana naye, mama ananiambia toa tu,nikamwambia nitoe nini wakati huu mzigo ni bure..wamezoea kuonea wanyonge.

Oh dada napakia mzigo ila tukifika mbezi utaulipia,nikamwambia wewe pakia,tukifika mbezi nitafutie mizani tupime mizigo..nina tiketi 2,zikizidi 50kgs nakulipa hela.

Tumefika mbezi,sister yuko pale,,,tukaanza kubishana naye wote wawili.

Nilifika nyumbani nikapiga na simu kwa boss wake kueleza ushenzi anaofanyia abiria.
 
Back
Top Bottom