Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wakuu kwa anayetumia Airtel naomba aniambie au akiweza anioneshe vifurushi vyao, hasa vya internet vikoje nataka niujaribu na huu mtandao.

Bongo hapa mitandao ambayo sijatumia ni Airtel na Zantel tu, Zantel sijawahi kuwaza kutumia maana nasikia iko vizuri zaidi kwa upande wa Zanzibar kuliko Bara.

Airtel ndiyo nimekuwa nikijishauri nitumie au nisitumie, ila kwa sasa nimefikia muafaka kuwa niangalie kwanza muelekeo wa vifurushi vyao ikishindikana basi narudi TTCL.

Kwa sasa natumia Vodacom na Halotel ila nataka niachane na Halotel maana siwaelewi na Tigo ndiyo kabisa sitaki hata kuwasikia, japo Vodac
Screenshot_20211216-210810_Phone.jpg
om wanazingua ila sitakiwi kuuacha.
Kama bado hujapata....
 
He he he....Wacha Bwana..
Inabidi ifanyike namna wakati mwingine uwepo aisee...Wazee wangu wapelekewe zile ng'ombe za Usukumani jamani..

Ikishindikana sana muagize ELY asimamie hilo zoezi

Sent using Jamii Forums mobile app

ELY simwamini aisee .

Afadhali tu nije kusimamia hilo zoezi mwenyewe aisee. Nina ng'ombe 81 hata mchukue 50 hivi sawa tu kwa kweli ...
 
Ha ha ha...Fanya namna aisee
Tupate na Ndama kama wapo
ELY hafai kumbe
Wewe T 1990 ELY hebu kuja kipande hii

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kawaida mnachagua wenyewe ng'ombe mnaowataka - madume, ndama, majike yenye mimba, yanayonyenyesha n.k.

Usinichongee sana basi kwa ELY jamani. Mdogo wangu yule tumeshibana sana japo wanaume wa Kisukuma huwa hatuaminiani mbele ya mwanamke mlimbwemde!
 
Back
Top Bottom